Tanzania Yaendelea Kufanya Vyema Utawala Bora, Haki Za Binadamu
HomeHabari

Tanzania Yaendelea Kufanya Vyema Utawala Bora, Haki Za Binadamu

Na Mwandishi wetu, Dar Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imesema Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika viwango vya Utawala Bo...

Mawaziri Wanena Na Wadau Sekta Ya Usafirishaji Nchini
Ajali mbaya ya gari Njombe yaua watu wanne na kujeruhi 19
Bunge laahirishwa kupisha maombolezo ya Mbunge Irene Ndyamkama


Na Mwandishi wetu, Dar
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imesema Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika viwango vya Utawala Bora na Haki za Binadamu hususani katika maeneo ya haki za kijamii pamoja na haki za kisiasa.

Mwenyekiti wa Tume hiyo (Jaji Mstaafu) Mathew Mwaimu ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) na kuongeza kuwa licha ya uwepo wa baadhi ya maeneo ya maboresho kwa sasa Tanzania iko katika daraja “A” miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika masuala ya Utawala Bora na Haki za Binadamu.

“Licha ya uwepo wa baadhi ya maeneo ya maboresho kwa sasa Tanzania iko katika daraja “A” miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika masuala ya Utawala Bora na Haki za Binadamu,” amesema Jaji Mwaimu.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula ameipongeza Tume hiyo kwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuishauri Serikali katika kuzingatia na kutekeleza masuala ya haki za binadamu na utawala bora kama ilivyoridhia katika majukwaa ya kimataifa.

“Naipongeza Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kutekeleza majukumu yake vizuri ikiwemo kuishauri Serikali katika kuzingatia na kutekeleza masuala ya haki za binadamu na utawala bora kama ilivyoridhia katika majukwaa ya kimataifa,” amesema Balozi Mulamula.

Balozi Mulamula ameongeza kuwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ya Tanzania ni mwanachama katika tume nyingine za kikanda na kimataifa ambazo hupima viwango vya utekelezaji wa Haki za binadamu na Utawala Bora ambapo kwa sasa Tanzania ina kiwango “A”.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania Yaendelea Kufanya Vyema Utawala Bora, Haki Za Binadamu
Tanzania Yaendelea Kufanya Vyema Utawala Bora, Haki Za Binadamu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-zBm5F12rINwwo8EVmBf4TLTcjEsj-AYS_-xfFjymDza2c2dXm26ZDAtK9RQulFcNILpLIez-zH2jIxuY7VgFP6ZSzQK0oLWvDAep5587lf-OV1Zu6nsvo4nDipo9a9V7DLseHJezaFmt/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-zBm5F12rINwwo8EVmBf4TLTcjEsj-AYS_-xfFjymDza2c2dXm26ZDAtK9RQulFcNILpLIez-zH2jIxuY7VgFP6ZSzQK0oLWvDAep5587lf-OV1Zu6nsvo4nDipo9a9V7DLseHJezaFmt/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/tanzania-yaendelea-kufanya-vyema.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/tanzania-yaendelea-kufanya-vyema.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy