IGP Simon Sirro asema hali ya usalama nchini ni shwari na hakuna matukio ya kutisha.
HomeHabari

IGP Simon Sirro asema hali ya usalama nchini ni shwari na hakuna matukio ya kutisha.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro amesema hali ya usalama nchini ni shwari, na hakuna matukio ya kutisha. IGP Sirro ametoa kau...

Uteuzi Wa Wajumbe Wa Bodi Ya Taasisi Ya Uhandisi Na Ubunifu Mitambo Tanzania TEMDO
RC Makalla amaliza ugomvi wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni
TANZIA: Jenerali Tumainiel Kiwelu (Mst) Afariki Dunia


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro amesema hali ya usalama nchini ni shwari, na hakuna matukio ya kutisha.

IGP Sirro ametoa kauli hiyo katika Chuo Cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam,  baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua kiwanda cha ushonaji cha Jeshi la Polisi.

Amesema kuna matukio madogo ya uhalifu ambayo yamekuwa yakitokea katika maeneo mbalimbali nchini, ambayo Jeshi la Polisi nchini limekuwa likikabiliana nayo.

Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi nchini amesema matukio ya uhalifu nchini yameendelea kupungua, na kutolea mfano katika kipindi cha mwezi Januari hadi Aprili mwaka huu yamepungua kwa zaidi ya asilimia 13 tofauti na ilivyokuwa katika kipindi kama hicho mwaka 2020.

Amesema katika kipindi hicho hicho, pia ajali za barabarani zimepungua kwa asilimia 29.1.

Kwa mujibu wa IGP Sirro, Jeshi la Polisi nchini kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ndani na nje ya nchi, linaendelea kupambana na vitendo vya ugadi na biashara ya dawa za kulevya.

Kuhusu nidhani ndani ya Jeshi la Polisi, IGP Sirro amesema ni ya kuridhisha na askari ambao wamekuwa wakikiuka sheria wanachukuliwa hatua za kinidhamu.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: IGP Simon Sirro asema hali ya usalama nchini ni shwari na hakuna matukio ya kutisha.
IGP Simon Sirro asema hali ya usalama nchini ni shwari na hakuna matukio ya kutisha.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKswG3qpnEEinhffECBfqITHu1K13kfqz4AskohRU8l4dBk_WhhGsuTqBUiCPWv2hR7KdbNZ33DnTJm3Se-Mk-EVQuZSTsU1oNL-Z1_JCRwOeWOsVtcjqdiICuk_by2LDXVlOwQ0pEAVgw/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKswG3qpnEEinhffECBfqITHu1K13kfqz4AskohRU8l4dBk_WhhGsuTqBUiCPWv2hR7KdbNZ33DnTJm3Se-Mk-EVQuZSTsU1oNL-Z1_JCRwOeWOsVtcjqdiICuk_by2LDXVlOwQ0pEAVgw/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/igp-simon-sirro-asema-hali-ya-usalama.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/igp-simon-sirro-asema-hali-ya-usalama.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy