Waziri Mhagama atoa utaratibu wa mazishi ya Dkt. Magufuli
HomeHabari

Waziri Mhagama atoa utaratibu wa mazishi ya Dkt. Magufuli

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amesema ratiba ya misa takatifu ya...

Habari kubwa Magazetini Kenya leo July 6, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 6, 2024
Wanajeshi wa DR Congo wamehukumiwa kifo kwa kuwatoroka waasi wa M23

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amesema ratiba ya misa takatifu ya mazishi ya Dkt. John Magufuli itaanza saa 12:30 alfajiri ambapo wananchi wataanza kuingia katika Uwanja wa Magufuli wilayani Chato.

Waziri Mhagama amezungumza hayo baada ya kumalizika kwa zoezi la kuaga mwili wa Dkt. Magufuli kwa wakazi wa Geita na maeneo jirani. Amewataka wananchi kuwahi ili taratibu nyingine ziweze kuendelea.

Amesema majira ya saa 1:30 asubuhi viongozi mbalimbali wataanza kuwasili katika uwanja huo kwa ajili ya kumsubiri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Ameeleza kuwa kabla ya mwili kuletwa uwanjani, itafanyika misa fupi nyumbani kwa marehemu ambayo itahusisha wanafamilia, ikiwa ni misa yao ya mwisho na mwili wa mpendwa wao kabla haujazikwa katika eneo hilo la nyumbani.

Mwili unatarajiwa kupolelewa Uwanja wa Magufuli majira ya saa 3:00 asubuhi tayari kwa misa takatifu ambayo amedokeza kuwa kati ya maaskofu watano hadi 10 wataongoza misa hiyo.

Viongozi mbalimbali watapata nafasi ya kutoa salamu fupi ambazo zitahitimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kabla ya mwili huo kurudishwa nyumbani kwa ajili ya kuwekwa katika nyumba yake ya milele.

Amesema aneo la nyumbani atakapozikwa Dkt. Magufuli ni dogo hivyo si watu wote watakaoweza kufika hapo, hivyo amewaomba wale watakaoshindwa, kuridhia hali hiyo.

Dkt. Magufuli alifariki Dunia Machi 17, 2021 katika Hospitali ya Mzena Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Mhagama atoa utaratibu wa mazishi ya Dkt. Magufuli
Waziri Mhagama atoa utaratibu wa mazishi ya Dkt. Magufuli
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV2r8hKrEAyT4LX77uBqdb24n3ImrnOnfoHt0CRsJtNxm3D2I5g_VvS6nqbHnvxy-rc9diS0ZCM6mogtWCGVRjj5KYIJjGYyBBUNQ5nfw20x2lDcQxruK_7Zj6Pm4HACEzZpjwbZXaVOzW/s0/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV2r8hKrEAyT4LX77uBqdb24n3ImrnOnfoHt0CRsJtNxm3D2I5g_VvS6nqbHnvxy-rc9diS0ZCM6mogtWCGVRjj5KYIJjGYyBBUNQ5nfw20x2lDcQxruK_7Zj6Pm4HACEzZpjwbZXaVOzW/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/waziri-mhagama-atoa-utaratibu-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/waziri-mhagama-atoa-utaratibu-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy