AS VITA WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA WAANZA KUMWAGA SABABU KIBAO
HomeMichezo

AS VITA WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA WAANZA KUMWAGA SABABU KIBAO

  ZIKIWA zimesalia siku chache kufikia siku ya mtanange kati ya Simba na AS Vita, Kocha Mkuu wa AS Vita kutoka nchini DR Congo, Florent Ib...

KIKOSI CHA KMC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA NAMUNGO FC, UWANJA WA UHURU
JIWEKEE NAFASI YA USHINDI MKUBWA CHEZA AVIATOR KUTOKA SPRIBE
KOCHA AIPELEKA SIMBA NUSU FAINALI AFRIKA

 ZIKIWA zimesalia siku chache kufikia siku ya mtanange kati ya Simba na AS Vita, Kocha Mkuu wa AS Vita kutoka nchini DR Congo, Florent Ibenge ameweka wazi kuwa ratiba yake ya sasa si rafiki kwa klabu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya Simba.


Ibenge ukiachana na kuwa kocha wa AS Vita, pia ni kocha mkuu wa kikosi cha timu ya taifa ya Congo ambapo Jumatatu aliongoza taifa la Congo katika mchezo wao wa mwisho wa kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika dhidi ya Gambia.


Kwenye mchezo huo Ibenge alishuhudia kikosi chake kikishinda bao 1-0 ila kilikwama kufuzu Afcon nchini Cameroon kwa kuwa kipo nafasi ya tatu.


 

Ibenge amesema kuwa ratiba ya mechi za timu za taifa na michuano ya Ligi ya Mabingwa imebana sana kiasi cha kukosa siku za kutosha kwake kukiandaa kikosi cha AS Vita kuelekea mchezo wao unaofuata wa michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Simba.

 

 

“Ratiba si rafiki kwetu, nadhani hii ni kwa klabu nyingi zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa, ukiangalia mechi za timu za taifa na ile michuano ya Ligi ya Mabingwa kwa klabu imebana, hakuna muda wa kuweza kuiandaa timu vizuri.

 

 

“Wachezaji wengi wa klabu wanakuwa kwenye majukumu ya timu ya mataifa yao, hivyo hawatakuwa na muda wa kujiandaa vizuri, kwangu pia hivyohivyo, kwa sasa nipo timu ya taifa lakini kwa wakati huo natakiwa niiandae AS Vita katika mchezo dhidi ya Simba, kwa kweli ratiba haipo salama kwangu na kwa wachezaji wetu,” amesema Ibenge.

 

 

Simba na AS Vita zinatarajiwa kumenyana Jumamosi hii Aprili 3 katika Uwanja wa Mkapa jijini Dar kwenye mchezo wa marudiano ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo mchezo wa awali uliofanyika Congo DR, Simba iliibuka na ushindi wa bao 1-0, likifungwa na Chris Mugalu kwa penalti mara baada ya beki wa AS Vita Ousmane Outarra kushika mpira uliopigwa na Luis Miquissone.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AS VITA WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA WAANZA KUMWAGA SABABU KIBAO
AS VITA WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA WAANZA KUMWAGA SABABU KIBAO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSX8NkaQv5dNNnzyj8yVQdYVJIg2HWSJtqG1_OHLxYsL3if_KZlEZ7EEAt9KlsK0kPyNWg4LLHjvpp8bacvds4leyuNtWyq7eiiwv6Trj3zclVWi0eKSGoCyXmsVpuNGCDtfrCwik0YstA/w640-h360/Kahata+v+AS+Vita.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSX8NkaQv5dNNnzyj8yVQdYVJIg2HWSJtqG1_OHLxYsL3if_KZlEZ7EEAt9KlsK0kPyNWg4LLHjvpp8bacvds4leyuNtWyq7eiiwv6Trj3zclVWi0eKSGoCyXmsVpuNGCDtfrCwik0YstA/s72-w640-c-h360/Kahata+v+AS+Vita.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/as-vita-wapinzani-wa-simba-kimataifa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/as-vita-wapinzani-wa-simba-kimataifa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy