MUGALU ATOA KAULI YA KIBABE KUHUSU LIGI YA MABINGWA AFRIKA
HomeMichezo

MUGALU ATOA KAULI YA KIBABE KUHUSU LIGI YA MABINGWA AFRIKA

MFUNGAJI wa bao pekee la Simba katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS ...

SLOTI INAYOKUPA MKWANJA MREFU IKIWA NI SAMBAMBA NA SIFA ZA KIPEKEE KUPITITIA MERIDIANBET PEKEE!
KMC YAGOMEA KUIPA UBINGWA SIMBA KWA MKAPA
ARGENTINA YATINGA FAINALI COPA AMERICA



MFUNGAJI wa bao pekee la Simba katika

ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza

hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

dhidi ya AS Viya, Mkongomani, Chris Mugalu,

ameibuka na kutamba kuwa lazima kitaeleweka

msimu huu katika michuano hiyo

inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika

(CAF).


Mkongomani huyo bao lake la penalti dakika ya

60, lilitosha kuipa ushindi Simba ugenini katika

mchezo uliochezwa Ijumaa iliyopita nchini DR

Congo ukiwa ni wa Kundi A.


Akizungumza na Spoti Xtra, Mugalu alisema,

malengo waliyojiwekea katika michuano hiyo ni

kuhakikisha wanashinda michezo yote kwa

kuanzia ugenini hadi nyumbani.


Mugalu alisema kuwa kikubwa wanahitaji pointi

zote 18 katika michezo sita watakayoicheza ya

hatua hiyo, nyumbani na ugenini katika Kundi

A, lenye timu za Al Ahly, El Merrikh na AS Vita.


Aliongeza kuwa, kikubwa wamedhamiria kufuzu

hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa

Afrika baada ya msimu uliopita kushindwa

kufika huko.


“Bado tuna kibarua kigumu kiukweli katika

kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hii,

kikubwa tunachotakiwa ni kujipanga ili kutimiza

malengo yetu.


“Siyo kazi rahisi kwetu, lakini kwa malengo

tuliyoyapanga msimu huu ni kuhakikisha

tunashinda michezo yote ya ugenini kama

tulivyoanza dhidi ya Vita.


“Kama tukipata matokeo mazuri ya ugenini,

ninaamini nyumbani tutakuwa na kazi rahisi

kwa kuutumia vema uwanja wetu wa

nyumbani,” alisema Mugalu.


SOURCE: SPOTI XTRA



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MUGALU ATOA KAULI YA KIBABE KUHUSU LIGI YA MABINGWA AFRIKA
MUGALU ATOA KAULI YA KIBABE KUHUSU LIGI YA MABINGWA AFRIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEKxCFTMJ3IJYht4OvtM1OVPNqNDO7MJc9SjlSf1bKdAjZmL_jPtgHxN3QG1EqjIuXnWRIEf5FeePFEd-_RD7jS8x8Rlkl1MfVeg8-wfQtZ_er3Ed9utKSMjz4PZtdXO1O8gvpHfANlYj6/w640-h568/IMG_20210217_071540_612.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEKxCFTMJ3IJYht4OvtM1OVPNqNDO7MJc9SjlSf1bKdAjZmL_jPtgHxN3QG1EqjIuXnWRIEf5FeePFEd-_RD7jS8x8Rlkl1MfVeg8-wfQtZ_er3Ed9utKSMjz4PZtdXO1O8gvpHfANlYj6/s72-w640-c-h568/IMG_20210217_071540_612.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/mugalu-atoa-kauli-ya-kibabe-kuhusu-ligi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/mugalu-atoa-kauli-ya-kibabe-kuhusu-ligi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy