LIVERPOOL YATAJWA KUMALIZANA NA BEKI LONG
HomeMichezo

LIVERPOOL YATAJWA KUMALIZANA NA BEKI LONG

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Liverpool ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England imemalizana na beki wa kati wa Klabu ya New York Red Bu...

Arsenal yasajili nyota wa Brazil.
Mourinho amwaga sifa kwa Drogba.
Real Madrid kujenga kituo cha Michezo Bongo>> Soma hapa zaidi

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Liverpool ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England imemalizana na beki wa kati wa Klabu ya New York Red Bulls, Aaron Long.

Hatua hiyo imefikia baada ya Liverpool kutokuwa imara upande wa ulinzi kutokana na mabeki wake wengi kuwa ni majeruhi ikiwa ni pamoja na Virgil van Dijk ambaye ni beki kisiki wa kati na Joe Gomez hawa wanatarajiwa kukaa nje msimu mzima wakitibu majeraha yao.

Pia Joel Matip aliumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Tottenham hivyo naye anasumbuliwa na majeraha jambo ambalo linawafanya Liverpool wasiwe na chaguo zaidi ya kuhitaji saini ya beki huyo mwenye miaka 28 kwa mkopo.

Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa watafanya jitihada ili kuweza kuwa imara katika safu ya ushambuliaji pamoja na ulinzi ambavyo vyote vinategemeana ndani ya uwanja.

"Kila kitu ndani ya uwanja kinategemeana, ninaskia kwamba wanasema nisajili beki wa kati sasa hapo unaweza kujiuliza nikipata beki nitakuwa nimemaliza matatizo yote ndani ya timu? Bado tuna kazi ya kufanya na kila kitu kinawezekana licha ya kwamba kwa sasa tupo kwenye wakati mgumu," .






Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: LIVERPOOL YATAJWA KUMALIZANA NA BEKI LONG
LIVERPOOL YATAJWA KUMALIZANA NA BEKI LONG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4MKPuiSWxnTPytZVhP_y53hnTUxr6TC9ZjZ7p4E9vXwiBRFb0uUlDdOcQvmDjaxjK3pAqS7kpZtDrRk4ogkbpfT1dnWMOUgV3dfJDTnirqVxcQVK2JhBLISUo2IdFKdtZKk9HBmf6qkVP/w640-h428/Aaron.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4MKPuiSWxnTPytZVhP_y53hnTUxr6TC9ZjZ7p4E9vXwiBRFb0uUlDdOcQvmDjaxjK3pAqS7kpZtDrRk4ogkbpfT1dnWMOUgV3dfJDTnirqVxcQVK2JhBLISUo2IdFKdtZKk9HBmf6qkVP/s72-w640-c-h428/Aaron.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/liverpool-yatajwa-kumalizana-na-beki.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/liverpool-yatajwa-kumalizana-na-beki.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy