Magari ya utalii Tanzania yakataliwa kuingia JKIA
Katibu wa baraza la masuala ya Afrika Mashariki na Utalii Phyllis Kandie
HomeHabariKitaifa

Magari ya utalii Tanzania yakataliwa kuingia JKIA

Katibu wa baraza la masuala ya Afrika Mashariki na Utalii Phyllis Kandie Magari ya kubeba watalii yaliyosajiliwa T...

Lowassa HAKAMATIKI.....Bodaboda, Machinga na Wanafunzi wa Chuo Kikuu UDOM Waandamana Kwenda Kumtaka Agombee Urais.....Wamkabidhi 800,000 ya Kuchukulia Fomu
Simba SC, Azam zaibana Yanga
Twiga Stars yawapa raha Watanzania


Magari ya kubeba watalii yaliyosajiliwa Tanzania hayataruhusiwa kuingia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) na mbuga za wanyama Kenya.
Katibu wa baraza la masuala ya Afrika Mashariki na Utalii Phyllis Kandie alisema fursa iliyoombwa na Tanzania wiki tatu zilizopita kuruhusu mataifa yote kujadili tatizo hilo imekataliwa.
“Mkutano wa kujadili masuala haya haujafanyika,” alisema Bi Kandie.

Taswira ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi
Taswira ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA), Nairobi

“Hizo wiki tatu zimeshapita sasa na wenzetu wa Tanzania wanaitisha mkutano kwa ajili ya makubaliano,” alieleza.
Bi Kandie alisema serikali awali ilidhamiria kutekeleza makubaliano baina ya Kenya na Tanzania mwaka 1985 kuhakikisha biashara sawa kati ya nchi mbili.

KUKATAA KWA TANZANIA
Maamuzi hayo yalivunja makubaliano yaliyokubaliwa baada ya Tanzania kukataa magari yote ya Kenya kuingina nchini.
Makubaliano ya namna ya kuendesha utalii kati ya mataifa mawili yanapaswa kufanyika.

Moja ya magari ya watalii ya Tanzania
Moja ya magari ya utalii ya Tanzania

Makubaliano yaliruhusu magari kushusha watalii kwenye vituo muhimu katika mataifa husika ikipingana na makubaliano ya awali ambapo watalii walishushwa mipakani.
Katibu wa baraza, hatahivyo, alitoa matumaini kwamba makubaliano hayo yatajadiliwa tena kuhakikisha ufanyaji rahisi wa biashara kati ya mataifa yote.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Magari ya utalii Tanzania yakataliwa kuingia JKIA
Magari ya utalii Tanzania yakataliwa kuingia JKIA
http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/kandie.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/02/magari-ya-utalii-tanzania-yakataliwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/02/magari-ya-utalii-tanzania-yakataliwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy