Kocha mkuu wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger Kocha mkuu wa klabu ya Arsenal,Arsene Wenger amekiri kuwa mwezi huu anahitaji kununua...
Wachezaji kama Mikel Arteta na Mathieu Debuchy wamekosa michezo mingi msimu huu kutokana na wote kuwa na majeraha ya kisigino na kiwiko na watakuwa nje ya uwanja kipindi cha miezi mitatu baada ya kufanyiwa upasuaji wa majeraha yao
COMMENTS