Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani washambuliwa Iraq, Syria
HomeHabari

Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani washambuliwa Iraq, Syria

Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika vita dhidi ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu nchini Iraq na Syria jana ulishambuli...

Habari Zilizopo Katika mgazeti ya Leo july 25
Serikali Yatoa Maelekezo Hatua Ya Kudhibiti Ajali Barabarani
Waziri Mkuu Akagua Maandalizi Ya Siku Ya Mashujaa Dodoma


Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika vita dhidi ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu nchini Iraq na Syria jana ulishambuliwa vikali, katika msururu wa mashambulizi ya karibuni zaidi ambayo Washington inasema yanafanywa na makundi yanayosaidiwa na Iran. 

Hata hivyo hakukuripotiwa madhara yoyote. Mkuu wa muungano huo Jenerali John W. Brennan amekiri kwenye taarifa yake kwamba wanaendelea kushuhudia vitisho dhidi ya wanajeshi wao nchini Iraq na Syria kutoka kwa wanamgambo wanaosaidiwa na Iran. 

Jana Jumatano maroketi matano yalililenga kambi ya vikosi vya anga vya muungano huo magharibi mwa Iraq. 

Siku ya Jumanne vikosi hivyo vilifanikiwa kuzitungua ndege mbili zisizotumia rubani zilizokuwa zinaelekea kwenye kambi hiyo. 

Mashambulizi hayo yanafanyika wakati Iran na washirika wake wa Mashariki ya Kati wakiadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa aliyekuwa kamanda wa majeshi la Iran Jenerali Qasem Soleimani.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani washambuliwa Iraq, Syria
Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani washambuliwa Iraq, Syria
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjI9O_2AL-1B1ivgniClvJHjBo5w2DlkbG4Al8zFzBBKI9Vtzc8XKVtSO3La96BFUL_L3exzCaPL7ZGMcfEf8thlZWB6m1GshKniiaFRzfSLopy0O3aD0QWw1_Umy4PZDMqK2_7hMyy9YP0Ridj3KUZSNfSZDC-JEy-nzGAJ5d9wtuPYErhp3AtTsu3zA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjI9O_2AL-1B1ivgniClvJHjBo5w2DlkbG4Al8zFzBBKI9Vtzc8XKVtSO3La96BFUL_L3exzCaPL7ZGMcfEf8thlZWB6m1GshKniiaFRzfSLopy0O3aD0QWw1_Umy4PZDMqK2_7hMyy9YP0Ridj3KUZSNfSZDC-JEy-nzGAJ5d9wtuPYErhp3AtTsu3zA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/muungano-wa-kijeshi-unaoongozwa-na.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/muungano-wa-kijeshi-unaoongozwa-na.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy