Mawaziri watakiwa kutenga muda wa kujitathmini binafsi na kikazi
HomeHabari

Mawaziri watakiwa kutenga muda wa kujitathmini binafsi na kikazi

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewataka viongozi wakiwemo mawaziri na naibu mawaziri kujifanyia tathmini ya utendaji kaz...

Habari kubwa Magazetini Kenya leo October 17, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 17, 2024
Wizara ya madini yadhamiria kurudisha minada ya ndani ya vito


Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewataka viongozi wakiwemo mawaziri na naibu mawaziri kujifanyia tathmini ya utendaji kazi wao kila baada ya kipindi fulani.

Amewataka kufanya hivyo ili kuweza kubaini ni wapi wanafanya vizuri na wapi panahitaji marekebisho katika kuwahudumia wananchi.

Amesema pasipo kufanya hivyo watakuwa wakifanya kazi kwa mazoea na kushindwa kutatua kero zinazowakabilia wananchi ambao ndio waliowachagua.

Dkt. Mpango ametoa rai hiyo katika kikao maalum cha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na mawaziri na naibu mawaziri kilichofanyika jijini Dodoma siku chache baada ya viongozi hao kuapishwa kufuatia mabadiliko ya baraza la mawaziri.

“Mtenge muda wa kutafakari juu ya maisha yenu na kazi zenu…untafakari, hivi perfomance [utendaji] yangu mimi waziri… nimefanikiwa wapi, nimekosea wapi, wapi naweza nikaboresha zaidi,” amesisitiza Dkt. Mpango.

Pia ametumia jukwaa hilo kuhimiza vitendo vya nidhamu kwa viongozi na kuepuka majungu, rushwa, uchawi, rushwa ya ngono au ya aina yoyote kwani vinaharibu haiba ya uongozi.

Pamoja na hayo amewataka kuwaheshimu wasaidizi na viongozi wengine walio chini yao kwani kwa kufanya hivyo wanapata thawabu na kujenga mazingira mazuri ya kufanyia kazi.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mawaziri watakiwa kutenga muda wa kujitathmini binafsi na kikazi
Mawaziri watakiwa kutenga muda wa kujitathmini binafsi na kikazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEguACfblX8UiFGiKkOdFtElOSTFa5iRz2pdRMhnLos3R-asTd4cPSmTPkIoR7M34KSLJw9A8vJVXYUoekNuQqeXzyI52MhZWrHwFT1Q-N4ADjJ4VzRiskqVcr91JqUwfeA8zb-_LDttJX8MjoGDRarT3wmZQfG4fZ5TCyd1KkNoVfmoHetYeyHmZbtq8A=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEguACfblX8UiFGiKkOdFtElOSTFa5iRz2pdRMhnLos3R-asTd4cPSmTPkIoR7M34KSLJw9A8vJVXYUoekNuQqeXzyI52MhZWrHwFT1Q-N4ADjJ4VzRiskqVcr91JqUwfeA8zb-_LDttJX8MjoGDRarT3wmZQfG4fZ5TCyd1KkNoVfmoHetYeyHmZbtq8A=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mawaziri-watakiwa-kutenga-muda-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mawaziri-watakiwa-kutenga-muda-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy