Wanafunzi 3,404 Kuanza Kidato Cha Kwanza Kwa Awamu Moja Mkalama
HomeHabari

Wanafunzi 3,404 Kuanza Kidato Cha Kwanza Kwa Awamu Moja Mkalama

Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI Wanafunzi 3,404 waliofaulu darasa la saba katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama wanategemea kuanza kid...

TANZIA: Aliyekuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji William Ole Nasha Afariki Dunia
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo September 28
Rais Samia Awaasa Viongozi ALAT kutoa elimu ya Uviko 19


Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
Wanafunzi 3,404 waliofaulu darasa la saba katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama wanategemea kuanza kidato cha kwanza kwa awamu moja kutokana na ujenzi wa madarasa 47 yanayojengwa katika Halmashauri hiyo.

Akiwa ziarani Wilayani humo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu amekagua ujenzi wa vyumba 7 vya madarasa katika shule ya Sekondari Gumangwa kwa niaba ya vyumba vyote 47 vilivyojengwa katika Halmashauari hiyo.

Kutoka katika mradi wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama imepoeka shilingi Milioni 940 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 47 katika shule za Sekondari Wilayani humo.

Akiwa shuleni hapo Waziri Ummy ameridhishwa na ujenzi wa madarasa hayo na amepongeza Uongozi wa Manispaa ya Singida kwa usimamizi makini wa ujenzi wa madarasa hayo.

Naye Makamu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Gumangwa Mwl. Lucas Egugu amesema wanafunzi waliomaliza kidato cha nne katika shule hiyo ni 77 na waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza ni 245 lakini kwa ujenzi wa madarasa hayo 7 yatapawezesha wanafunzi wote kuanza kidato cha kwanza kwa awamu moja.

Pia amemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa fedha walizopata kwa kuwa zimeongeza fursa za Elimu kwa watoto wote wa Kitanzania kupata elimu yao kwa wakati.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Wanafunzi 3,404 Kuanza Kidato Cha Kwanza Kwa Awamu Moja Mkalama
Wanafunzi 3,404 Kuanza Kidato Cha Kwanza Kwa Awamu Moja Mkalama
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgE_M4gN_M6XnOpznnL7GinyWiS_SVmavHw550C3fOvu1tVqi_SGwgZcGV78z7ry6PTqv6J4te9wB5UDkDjrYhzG-coOkeNA2trRKt9ZPTo8nA69LhgxrEfWwZSvAr5LrYwcW_1k-rXTP1aP_ZW7NxjwCj9OrNiCKX12HJ0IVDP6zkGTtKMPe1udOnXHw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgE_M4gN_M6XnOpznnL7GinyWiS_SVmavHw550C3fOvu1tVqi_SGwgZcGV78z7ry6PTqv6J4te9wB5UDkDjrYhzG-coOkeNA2trRKt9ZPTo8nA69LhgxrEfWwZSvAr5LrYwcW_1k-rXTP1aP_ZW7NxjwCj9OrNiCKX12HJ0IVDP6zkGTtKMPe1udOnXHw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/wanafunzi-3404-kuanza-kidato-cha-kwanza.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/wanafunzi-3404-kuanza-kidato-cha-kwanza.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy