Mawakili nchini wasisitizwa kuzingatia maadili
HomeHabari

Mawakili nchini wasisitizwa kuzingatia maadili

Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amewataka mawakili nchini kuzingatia maadili katika utekelezaji wa majukumu yao, ili kuondoa...

Bashe Aagiza Ras Tabora Kuwaondoa Watumishi Wa Manispaa Ya Tabora Waliochukua Mashamba Katika Mashamba Katika Skimu Inala
Makamu Wa Rais Dkt.Mpango Awasili Nchini Ufaransa Kuhudhuria Jukwaa La Kizazi Chenye Usawa
OFA! Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Mbezi- Kwembe Kwa Bei Nzuri Kabisa


Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amewataka mawakili nchini kuzingatia maadili katika utekelezaji wa majukumu yao, ili kuondoa malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa dhidi yao.

Jaji Mkuu ametoa kauli hiyo mkoani Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaapisha na kuwakubali mawakili wapya 314.

Amesema katika kipindi hiki ambacho dunia yote ni kijiji, hakuna nafasi kwa Mawakili wasio na maadili na sifa, hivyo ni vema wakazingatia jambo hilo.

Jaji Mkuu wa Tanzania amewataka mawakili nchini kutoa taarifa kwa mamlaka husika pindi wanapoona kuna mawakili miongoni mwao wasio na maadili ambao wamekuwa wakichafua taaluma yao, ili wachukuliwe hatua stahiki.

Kwa upande wake Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Eliezer Feleshi amewataka mawakili hao wapya kutambua kuwa uwakili ni taaluma adhimu, hivyo wanatakiwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kwa kuzingatia sheria za nchi.

Pia amewataka Mawakili hao wapya kufuata na kuheshimu taratibu za kimahakama, na waache kuwatoza wateja wao kiwango kikubwa cha fedha tofauti na kile kilichoainishwa katika sheria zilizopo.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mawakili nchini wasisitizwa kuzingatia maadili
Mawakili nchini wasisitizwa kuzingatia maadili
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhk-cHyIRS34EoTiWGUC3fKW8vKwb8OkJEMQlJcZFEYtAEliLUN__nEZqLYl_n_2cX7FLhGnrxJ2Wg1rTlUSjyGmJsbCdlaM6yTlT-030BLms0qmpYGEQBrBH9HiGa0pPGYBbd_gNcYzDShR7GAQsKhC7FcNCrVAoy5Jf_hkaBLmNSfP2V01DWN2JhBUA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhk-cHyIRS34EoTiWGUC3fKW8vKwb8OkJEMQlJcZFEYtAEliLUN__nEZqLYl_n_2cX7FLhGnrxJ2Wg1rTlUSjyGmJsbCdlaM6yTlT-030BLms0qmpYGEQBrBH9HiGa0pPGYBbd_gNcYzDShR7GAQsKhC7FcNCrVAoy5Jf_hkaBLmNSfP2V01DWN2JhBUA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/mawakili-nchini-wasisitizwa-kuzingatia.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/mawakili-nchini-wasisitizwa-kuzingatia.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy