Waasi Ethiopia Wazidi kusonga mbele, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Kuongoza Mapambano ya Vita
HomeHabari

Waasi Ethiopia Wazidi kusonga mbele, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Kuongoza Mapambano ya Vita

Wakati muungano wa waasi kutoka Tigraya na Oromo wakiwa kilomita 200 na mji mkuu wa Ethiopia, Waziri Mkuu Abiy Ahmed ametangaza kwamba at...

Wananchi Lupembe wapunguziwa adha ya kukodi usafiri kwa ajili ya wagonjwa 
“Wanawake wajasiriamali wapewa mafunzo maalum,Aweso atoa Mil 10 kuwawezesha”
Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 1, 2024


Wakati muungano wa waasi kutoka Tigraya na Oromo wakiwa kilomita 200 na mji mkuu wa Ethiopia, Waziri Mkuu Abiy Ahmed ametangaza kwamba atakwenda kwenye uwanja wa vita yeye binafsi kuongoza ulinzi wa mji mkuu.

Ilikuwa ni baada ya kikao cha kamati kuu ya chama chake, Prosperity Party, ambapo Waziri Mkuu Abiy Ahmed amefahamisha kwamba kuanzia Jumanne hii, Novemba 23, yeye binafsi "atakwenda kuongoza majeshi " katika uwanja wa vita dhidi ya waasi. "Wale wanaotaka kuwa miongoni mwa watoto wa Ethiopia waliosifiwa na historia, simameni leo kwa ajili ya nchi yenu," amesema.

Baada ya kutangaza hali ya hatari Novemba 2, Abiy Ahmed, mwanajeshi wa zamani, amechagua kutoa hotuba ya kitaifa, inayokumbusha viapo vya kulitumikia taifa wakati wa vita vya wafalme wa zamani wa Ethiopia. Kauli hii inakuja, wakati muungano wa waasi kutoka Oromo na Tigray walioapa kumuondoa wamesema wanasonga mbele kuelekea Addis Ababa na hasa tayari wameudhibiti mji wa Shewa Robit, kilomita 200 kutoka mji mkuu.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waasi Ethiopia Wazidi kusonga mbele, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Kuongoza Mapambano ya Vita
Waasi Ethiopia Wazidi kusonga mbele, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Kuongoza Mapambano ya Vita
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiQ5mXWkZ_O2uZCVVUVv4gyRuBQMOmW8TrxczVGU1Xxq3DlY1OdXP1fLBE3-UCjuF2No_wCa1iNumnDOuhoi_9cxyVTzvtC45yEBcquyOtrLpViC2UjsYydr9b8xlrlZgKuXESSihXMuj2VN5JP3SQwtCsdY75luv0fFAMCFFfdMQAoP7ZAPYjSzEApZQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiQ5mXWkZ_O2uZCVVUVv4gyRuBQMOmW8TrxczVGU1Xxq3DlY1OdXP1fLBE3-UCjuF2No_wCa1iNumnDOuhoi_9cxyVTzvtC45yEBcquyOtrLpViC2UjsYydr9b8xlrlZgKuXESSihXMuj2VN5JP3SQwtCsdY75luv0fFAMCFFfdMQAoP7ZAPYjSzEApZQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/waasi-ethiopia-wazidi-kusonga-mbele.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/waasi-ethiopia-wazidi-kusonga-mbele.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy