Rais Museveni awataka magaidi kujisalimisha
HomeHabari

Rais Museveni awataka magaidi kujisalimisha

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza vita na Magaidi wote nchini humo ambapo amewataka  wajisalimishe wenyewe ili waokoe maisha yao la...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jue 14
Jeshi la Ukraine lakiri askari wake wamefurushwa katikati ya mji wa Severodonetsk
Andaeni Mpango Kazi Unaolenga Kuwanufaisha Wananchi: Msajili Mkuu
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza vita na Magaidi wote nchini humo ambapo amewataka  wajisalimishe wenyewe ili waokoe maisha yao lasivyo wote watauawa.

"Tumewakamata washukiwa wa ugaidi 106 hadi sasa ambao wana uhusiano na matukio mawili ya milipuko ya hivi karibuni, bado tunawasaka wengine akiwemo Obaida Bin Bukenya. Ushauri wangu kwa magaidi wote wajisalimishe ili waokoe maisha yao, wasipojisalimisha wote watapoteza maisha

"Tunaongea na Serikali ya DR Congo tutawapata waasi wa ADF ambao wanashirikikiana na IS kuendesha ugaidi , Marais wa Nchi zote Afrika wamenipigia na tutalitatua hili tatizo la ugaidi

"Nawaomba watu wawe na subira wakati uchunguzi wa matukio mawili ya mlipuko ukiendelea, subirini watuhumiwa wafikishwe mahakamani mtasikia ukweli, Mimi ni msomaji mzuri wa masuala ya kijasusi, subirini Mahakamani" amesema Rais Museveni



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Museveni awataka magaidi kujisalimisha
Rais Museveni awataka magaidi kujisalimisha
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgpCvGX2bJoGekzNn2x580E5DfW3iDNkqv3dJ_GPZSQFWBkmIk3Y0rdR1B9fHsdk3bn3CZ3fxc0UNt0BQHuRYpIljwM2PVyvIoywi81lFfyo2hHRJ_1Wl5TypIzeN5DiviDY9tg2agn_pBH9aNxQyMJT1__To3FRMM4xnwW75QR6urXDfpJwTyDWRZrQw
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgpCvGX2bJoGekzNn2x580E5DfW3iDNkqv3dJ_GPZSQFWBkmIk3Y0rdR1B9fHsdk3bn3CZ3fxc0UNt0BQHuRYpIljwM2PVyvIoywi81lFfyo2hHRJ_1Wl5TypIzeN5DiviDY9tg2agn_pBH9aNxQyMJT1__To3FRMM4xnwW75QR6urXDfpJwTyDWRZrQw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rais-museveni-awataka-magaidi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rais-museveni-awataka-magaidi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy