SIMBA YALIA NA ISHU YA VIWANJA KUSHINDWA KUWA RAFIKI KWAO
HomeMichezo

SIMBA YALIA NA ISHU YA VIWANJA KUSHINDWA KUWA RAFIKI KWAO

 BAADA ya kukamilisha dakika 180 za msako wa pointi sita ndani ya Ligi Kuu Bara na kuambulia nne, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simb...


 BAADA ya kukamilisha dakika 180 za msako wa pointi sita ndani ya Ligi Kuu Bara na kuambulia nne, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamebainisha kuwa ubovu wa viwanja umewanyima uhuru wa kucheza mpira wa pasi nyingi waliouzoea.


Kikosi hicho kilifungua pazia la ligi kwa kucheza na Biashara United kwenye Uwanja wa Karume, Mara na kushindwa kufungana, kabla ya mchezo wa pili dhidi ya Dodoma Jiji pale Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, kuibuka na ushindi wa bao 1-0.


Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola, alisema: “Ninaweza kusema kwamba ligi ina ushindani mkubwa na kila timu inahitaji ushindi, hilo ni jambo zuri, lakini kwetu tulianza kwa tabu kidogo hasa ukizingatia sehemu ya kuchezea haikuwa rafiki kwetu.


“Ukitazama wachezaji wetu wamepambana sana kusaka ushindi ila ilikuwa ni ngumu kucheza ule mchezo ambao tumeuzoea wa pasi pamoja na kuwapa uhuru wachezaji kushinda mapema, hakuna namna lazima mapambano yaendelee," .

Mfungaji wa bao la kwanza kwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes alikuwa ni Meddie Kagere alipachika bao hilo Uwanja wa Jamhuri,Dodoma.

Alifunga bao hilo akiwa ndani ya 18 kwa shuti la mguu wake wa kulia akitumia pasi ya mshambuliaji mwenzanke, Chris Mugalu.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA YALIA NA ISHU YA VIWANJA KUSHINDWA KUWA RAFIKI KWAO
SIMBA YALIA NA ISHU YA VIWANJA KUSHINDWA KUWA RAFIKI KWAO
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiFiK6v7QRHRus0DH7Sb3skGOvmxNvqrN9gRjqsDE9M6OOxF9mXoCXYzhPa8B70a8iuHE_HtHYByCvaa1KFrd-VRQAWN3EQGi7lSz33lZcsg9kRN06LI0luckLLa2Lj_bWCCP1g8YRnYGdrxWP-nBW-Gno0IuypEUBK4sbXUhxLL90f2JvtqEOSuy5Xpw=w640-h426
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiFiK6v7QRHRus0DH7Sb3skGOvmxNvqrN9gRjqsDE9M6OOxF9mXoCXYzhPa8B70a8iuHE_HtHYByCvaa1KFrd-VRQAWN3EQGi7lSz33lZcsg9kRN06LI0luckLLa2Lj_bWCCP1g8YRnYGdrxWP-nBW-Gno0IuypEUBK4sbXUhxLL90f2JvtqEOSuy5Xpw=s72-w640-c-h426
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/simba-yalia-na-ishu-ya-viwanja.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/simba-yalia-na-ishu-ya-viwanja.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy