Rufaa ya Ole Sabaya kuanza kusikilizwa Februari mwakani
HomeHabari

Rufaa ya Ole Sabaya kuanza kusikilizwa Februari mwakani

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha imepanga kuanza kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole S...


Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha imepanga kuanza kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili Februari 14, 2022.

Sabaya kupitia mawakili wake wamekata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa Oktoba 15 mwaka huu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Ruth Massam amesema leo Desemba 13, 2021 rufaa hiyo ilipangwa kwa ajili ya kutajwa na kupangiwa tarehe ya kuanza kusikiliza.

Amesema rufaa hiyo itakayosikilizwa mfulululizo itaanza Februari 14 mwakani mbele ya Jaji atakayekuwa amepangiwa.

"Leo imekuja kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuanza kusikilizwa. Itaanza kusikilizwa Februari 14, 2022 mbele ya Jaji atakayepangiwa na itaendelea mfulululizo kama mtakavyoelekezwa,"amesema

Rufaa hiyo namba 129 ya mwaka huu, wajibu Rufaa (Jamhuri), waliwakilishwa na jopo la mawakili wanne wakiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu Tumaini Kweka, Mawakili wa Serikali Waandamizi Ofmed Mtenga, Felix Kwetukia na Wakil wa Serikali Baraka Mgaya.

Waomba rufaa ambao ni Sabaya, Sylvester Nyegu na Daniel Mbura, waliwakilishwa na Mawakili Mosses Mahuna, Sylvester Kahunduka na Fauzia Mustapha.

Wakili Mahuna aliieleza mahakama kuwa rufaa hiyo imekuja kwa ajili ya kutaja na wako tayari kupokea amri zingine za mahakama..


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rufaa ya Ole Sabaya kuanza kusikilizwa Februari mwakani
Rufaa ya Ole Sabaya kuanza kusikilizwa Februari mwakani
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjvOw7MzcREFx58DJincxej1o8JIHu12PCZpoYCTTnbh7IvXhonu5-0cMBEscapjiqzGn-Z5JHJApfxU4eOsxsIYWs8ccHrLIgJHoNvEibpIx8lL4I_ShRjmR8Z8L2euqt175K1BZLwANRaCkH5N_UpRsmV4PJBH8mi8POaxDGBzkO5sFe-MQPTdziBtw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjvOw7MzcREFx58DJincxej1o8JIHu12PCZpoYCTTnbh7IvXhonu5-0cMBEscapjiqzGn-Z5JHJApfxU4eOsxsIYWs8ccHrLIgJHoNvEibpIx8lL4I_ShRjmR8Z8L2euqt175K1BZLwANRaCkH5N_UpRsmV4PJBH8mi8POaxDGBzkO5sFe-MQPTdziBtw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/rufaa-ya-ole-sabaya-kuanza-kusikilizwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/rufaa-ya-ole-sabaya-kuanza-kusikilizwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy