MECHI ZA KIMATAIFA KUCHEZWA BILA YA MASHABIKI
HomeMichezo

MECHI ZA KIMATAIFA KUCHEZWA BILA YA MASHABIKI

  UONGOZI wa Klabu ya Yanga umethibitisha kuwa mechi yao ya kesho Jumapili dhidi ya Rivers United itapigwa bila ya uwepo wa mashabiki. Ni...

MTIBWA SUGAR YAWASUBIRI SIMBA AU POLISI FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI…
Fabregas:Messi hawezi kuondoka Barcelona
Liverpool yaimarisha matokeo yake

 UONGOZI wa Klabu ya Yanga umethibitisha kuwa mechi yao ya kesho Jumapili dhidi ya Rivers United itapigwa bila ya uwepo wa mashabiki.

Ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo utachezwa Uwanja wa Mkapa. Jana Yanga walitoa taarifa kuhusu viingilio vya mchezo huo ila leo wametoa taarifa kwamba hakuna ruhusa ya uwepo wa mashabiki.

Taarifa hiyo imebainisha kuwa CAF imezuia mashabiki kwa sababu Tanzania bado haijafikia viwango vya shirikisho hilo juu ya protokali za usimamizi wa ugonjwa wa Uviko-19.

Kwa mechi zote ambazo zitachezwa kwa wakati huu hazitakuwa na mashabiki ikiwa ni pamoja na ule wa leo wa Kombe la Shirikisho kati ya Azam FC dhidi ya Horseed FC ya Somalia.

Pia taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa imewasiliana na timu zote zinazoshiriki mashindano ya kimataifa ambazo ni Simba, Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Biashara United na Azam FC ambazo zinawakilisha Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho.


Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MECHI ZA KIMATAIFA KUCHEZWA BILA YA MASHABIKI
MECHI ZA KIMATAIFA KUCHEZWA BILA YA MASHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7aoAQsir7PuE7jVDP1or-nuXZIIWvQmhlrMVrSmsJ0SxDCceqNIc-MiV5gIZo72lsWx_dSAZagJL5KM9sh7rZXV4T-jL0SMmRMKBY_C8n_VA0Fhkn9QPyzioBHFXd0bMOEF28hyle3RKe/w640-h426/mashabiki+wa+Simba+v+Yanga.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7aoAQsir7PuE7jVDP1or-nuXZIIWvQmhlrMVrSmsJ0SxDCceqNIc-MiV5gIZo72lsWx_dSAZagJL5KM9sh7rZXV4T-jL0SMmRMKBY_C8n_VA0Fhkn9QPyzioBHFXd0bMOEF28hyle3RKe/s72-w640-c-h426/mashabiki+wa+Simba+v+Yanga.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/mechi-za-kimataifa-kuchezwa-bila-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/mechi-za-kimataifa-kuchezwa-bila-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy