Tatizo la mtandao lakwamisha kesi ya Mbowe, yaahirishwa mpaka kesho.
HomeHabari

Tatizo la mtandao lakwamisha kesi ya Mbowe, yaahirishwa mpaka kesho.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, imeahirishwa hadi kesho Agosti 6, 2021, kutokana na muonekano hafifu wa ...

RC Kunenge Awashukuru Wakazi wa Dar es salaam kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho Kwa Hayati Dr Magufuli
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo March 22
Zaidi ya Marais 10 kumuaga Dkt Magufuli Dodoma


Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, imeahirishwa hadi kesho Agosti 6, 2021, kutokana na muonekano hafifu wa video conference, kesi hiyo ilikuwa inaendeshwa kwa mfumo huo, ambapo kesho atafikishwa mahakamani majira ya saa 3:00 asubuhi.

Kesi hiyo ya ugaidi ilikuwa itajwe leo Agosti 5, 2021, ambapo Mbowe na wenzake walikuwa katika Gereza la Ukonga Dar es Salaam lakini kutokana na matatizo ya mtandao ilishindwa kuendeshwa vizuri.

Akizungumza hii leo mara baada ya kesi hiyo kuahirishwa Wakili wa upande wa utetezi Peter Kibatala, amesema kuwa, "Teknolojia imefeli hivyo tumeshindwa kufanikisha mchakato huo kwa sababu kumekuwa na mawasiliano hafifu kati ya video conference facility za hapa katika Mahakama ya Kisutu na Gereza la Ukonga na tumekubaliana kwamba kesho washtakiwa waletwe mahakamani," ameeleza Wakili Kibatala




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tatizo la mtandao lakwamisha kesi ya Mbowe, yaahirishwa mpaka kesho.
Tatizo la mtandao lakwamisha kesi ya Mbowe, yaahirishwa mpaka kesho.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8geI4aj-qdOdtA8fhE6fzFVz4nFGx5Opv3tq8F9JyENglFOV04uhfWI2tTpiAEpSpz7iUdkELpVTjp4729xqQLGx1MzBlH3lDI0J9fZK_RAltQDFH-Fu2I96XnPcn987jK0iZhpFSuBeG/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8geI4aj-qdOdtA8fhE6fzFVz4nFGx5Opv3tq8F9JyENglFOV04uhfWI2tTpiAEpSpz7iUdkELpVTjp4729xqQLGx1MzBlH3lDI0J9fZK_RAltQDFH-Fu2I96XnPcn987jK0iZhpFSuBeG/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/tatizo-la-mtandao-lakwamisha-kesi-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/tatizo-la-mtandao-lakwamisha-kesi-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy