RC Kunenge Awashukuru Wakazi wa Dar es salaam kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho Kwa Hayati Dr Magufuli
HomeHabari

RC Kunenge Awashukuru Wakazi wa Dar es salaam kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho Kwa Hayati Dr Magufuli

 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, -Aboubakar Kunenge amewashukuru Wakazi wa mkoa huo kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho kwa...

Infinix Kuja na Toleo Jipya lenye ukubwa mara mbili zaidi ya matoleo ya awali.....Bofya Hapa Kujua Zaidi
Wizara Ya Maliasili Na Utalii Yaanika Itakavyotumia Tzs Bil.90.2
Chongolo Azipa Rungu kamati za siasa za wilaya na mikoa Fedha Za IMF

 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, -Aboubakar Kunenge amewashukuru Wakazi wa mkoa huo kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli.


Kunenge amesema kuwa, wingi wa watu waliojitokeza kutoa heshima zao za mwisho jana  unathibitisha kuwa Marehemu Rais Magufuli alikuwa ni kipenzi cha watu wa Dar es salaam na kwamba hiyo ni heshima ya juu kwa kiongozi huyo.

Akizungumza na Waandishi wa habari jana katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kukamilika kwa shughuli ya kuusafirisha mwili wa Dkt Magufuli kwenda mkoani Dodoma, Kunenge alisema Wakazi wa Dar es salaam wamemtendea haki Marehemu Dkt Magufuli kwa namna walivyojitokeza.

Kunenge aliongeza kuwa Wakazi wa Dar es salaam wameguswa na maisha ya Dkt Magufuli, ndio maana wamejitokeza kwa wingi kumpa heshima yake katika siku zote mbili walizopewa nafasi ya kumuaga katika uwanja wa Uhuru.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: RC Kunenge Awashukuru Wakazi wa Dar es salaam kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho Kwa Hayati Dr Magufuli
RC Kunenge Awashukuru Wakazi wa Dar es salaam kwa kujitokeza kwa wingi kutoa heshima zao za mwisho Kwa Hayati Dr Magufuli
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPrH5694lafq43PxOkuzZS7XNOl6O_WA5fWkQ0iaW9NLa7WNfRuhZyGrFxxbyyC1lH4EtObEMZA2AVhJK7oLxg8iYzQPcWMrI7kLOjE7U929KKKx9n_AFVUJkHQhTbCvUSGs8QKXX9q8w4/s0/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPrH5694lafq43PxOkuzZS7XNOl6O_WA5fWkQ0iaW9NLa7WNfRuhZyGrFxxbyyC1lH4EtObEMZA2AVhJK7oLxg8iYzQPcWMrI7kLOjE7U929KKKx9n_AFVUJkHQhTbCvUSGs8QKXX9q8w4/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/rc-kunenge-awashukuru-wakazi-wa-dar-es.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/rc-kunenge-awashukuru-wakazi-wa-dar-es.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy