MASTAA SIMBA WAPUMZISHWA KISA YANGA
HomeMichezo

MASTAA SIMBA WAPUMZISHWA KISA YANGA

  IMEFAHAMIKA kwamba mpango namba moja wa Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes kuwapumzisha mastaa wake ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone, C...

FIFA YAMLILIA RAIS MAGUFULI
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MAMA SAMIA AAPISHWA KUWA RAIS WA TANZANIA – VIDEO

 IMEFAHAMIKA kwamba mpango namba moja wa Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes kuwapumzisha mastaa wake ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone, Clatous Chama ni kwa ajili ya fainali dhidi ya Yanga.

 

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Julai 25, Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa Simba ni mabingwa watetezi wa taji hilo wanakutana na watani zao wa jadi Yanga ambao wamebainisha kwamba wanalihitaji kombe hilo.

 

Taarifa kutoka benchi la ufundi la Simba zimeeleza kuwa mbali na kwamba kwa sasa walikuwa wanawapa nafasi wachezaji ambao walikuwa hawapati nafasi kikosi cha kwanza ila hesabu kubwa ni kwa ajili ya mchezo dhidi ya Yanga.

 

“Tuna jambo kubwa la kufanya kuelekea mchezo wetu dhidi ya Yanga hivyo tuliamua kuwapa mapumziko wachezaji wetu wale ambao walicheza mechi nyingi, moja kuwapa nafasi wale wengine pamoja na kuwapa muda wa kujiandaa na mchezo wetu dhidi ya Yanga,” ilieleza taarifa hiyo.

 

Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes aliliambia Championi Jumatatu kuwa wanatakiwa kutwaa taji la Shirikisho na mbinu pekee ni kushinda mbele ya Yanga.

 

Rekodi zinaonyesha kuwa Julai 15, wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Azam FC 1-1 Simba, Aishi Manula kipa namba moja kinara wa clean sheet akiwa nazo 17, Shomari Kapombe beki wa pembeni, Mohamed Hussein, nahodha msaidizi, Pascal Wawa beki wa kati, Taddeo Lwanga mzee wa kukata umeme pamoja na Clatous Chama kinara wa pasi za mwisho akiwa nazo 15 hawakuanza kikosi cha kwanza.

 

Pia wakati Simba ikitangazwa kuwa mabingwa Julai 11 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union ni Manula, Kapombe,Mohamed, Joash Onyango,Wawa, Lwanga, Kagere na Kapombe hawakuanza kikosi cha kwanza.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MASTAA SIMBA WAPUMZISHWA KISA YANGA
MASTAA SIMBA WAPUMZISHWA KISA YANGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgedH4_CT2GPjaIqpwpjisM3-3HAMzCEgx5Ntby9eNxDwnw9D6byLV7Heb-3MHuFwEAadY-wiSoYsmEzC_Z1cx1Kx6uqb5_3QqvN6zgg-_5RXpKDV5m9TgX26b-hMV6Ophe9xRCMKjV4pTj/w640-h640/Onyango.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgedH4_CT2GPjaIqpwpjisM3-3HAMzCEgx5Ntby9eNxDwnw9D6byLV7Heb-3MHuFwEAadY-wiSoYsmEzC_Z1cx1Kx6uqb5_3QqvN6zgg-_5RXpKDV5m9TgX26b-hMV6Ophe9xRCMKjV4pTj/s72-w640-c-h640/Onyango.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/mastaa-simba-wapumzishwa-kisa-yanga.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/mastaa-simba-wapumzishwa-kisa-yanga.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy