KIUNGO SIMBA ANUSURIKA KUACHWA, GOMES AMBAKISHA
HomeMichezo

KIUNGO SIMBA ANUSURIKA KUACHWA, GOMES AMBAKISHA

  M UDA  na wakati  wowote Simba  itamuongezea  mkataba wa  miaka miwili  kiungo wake mshambuliaji  Miraji Athumani ‘Sheva’ wa  kuendelea ...

MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
OCHOWECHI ANAKUJA SIMBA, YANGA YATUA KWA MCONGO, NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE

 MUDA na wakati wowote Simba itamuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mshambuliaji Miraji Athumani ‘Sheva’ wa kuendelea kukipiga Msimbazi.

 

Awali kiungo huyo alikuwa kwenye orodha ya wachezaji watakaochwa katika kuelekea usajili wa msimu ujao ambao wanajiandaa na michuano ya kimataifa na Ligi Kuu Bara.

 


 Chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba, kimeliambia Championi Jumatano kuwa, Sheva amebakishwa kuendelea kukipiga katika timu hiyo baada ya kocha Mfaransa Didier Gomes kupendekeza abaki.

 

Kilisema kuwa kiungo huyo amebakishwa baada ya kocha kushawishika na kiwango chake akiamini kitaongezeka hapo baadaye baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha aliyoyapata.

 

Chanzo hicho kiliongeza kuwa kikubwa kocha hataki kuwaacha rundo la wachezaji wengi, hivyo atawabakisha wale ambao anaamini atafanya nao kazi vizuri.

 

“Sheva ameondolewa kwenye orodha ya wachezaji ambao kocha atawaacha katika usajili wa msimu ujao, ni baada ya benchi la ufundi kupendekeza kumbakisha Simba.

 

"Na anaachwa baada ya tathimini kubwa iliyofanywa na benchi la ufundi wakiamini bado Sheva yupo vizuri, lakini kiwango kilishuka hapa katikati baada ya kupata majeraha ambayo hivi sasa amepona.

 

“Sheva ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu pamoja na akina Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael ambao hao tayari wameachwa,” alisema mtoa taarifa huyo.

 

Simba kwa kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again’ hivi karibuni alifanya mazungumzo na gazeti akizungumzia usajili alisema kuwa: “Masuala yote yanayohusu usajili tumewaachia benchi la ufundi.


“Na ripoti ya usajili bado haijakabidhiwa kwa uongozi mara baada ya kuipata tutaanza kuifanyia kazi sehemu ya utawala.”



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KIUNGO SIMBA ANUSURIKA KUACHWA, GOMES AMBAKISHA
KIUNGO SIMBA ANUSURIKA KUACHWA, GOMES AMBAKISHA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIgu7RH3gxPnCiShXIFvKqKdnOGW-qbkoDJCVT4X5BwqsxwDEF9AUntFIYv0NTcDWW52vLfpc6SPo0ccPhH6xyhHuP4TKeIXF5cqlzpvHXAn4kDsavtaPUbK44KObHEx-68EE7D8XDpH8m/w640-h640/sheva__21-91567322_703811223757297_7308198610056602357_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIgu7RH3gxPnCiShXIFvKqKdnOGW-qbkoDJCVT4X5BwqsxwDEF9AUntFIYv0NTcDWW52vLfpc6SPo0ccPhH6xyhHuP4TKeIXF5cqlzpvHXAn4kDsavtaPUbK44KObHEx-68EE7D8XDpH8m/s72-w640-c-h640/sheva__21-91567322_703811223757297_7308198610056602357_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/kiungo-simba-anusurika-kuachwa-gomes.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/kiungo-simba-anusurika-kuachwa-gomes.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy