DILI LA KAHATA KUIBUKIA AZAM FC LIMEKUWA GUMU
HomeMichezo

DILI LA KAHATA KUIBUKIA AZAM FC LIMEKUWA GUMU

  M ABOSI wa  Azam FC rasmi  wametangaza  kuachana na  mipango ya kumsajili aliyekuwa  kiungo mchezeshaji fundi raia  wa Kenya, Francis Ka...

VIDEO:DAVID BRYSON ISHU YAKE KUMALIZANA NA YANGA IPO HIVI
VIDEO: SIMBA, BADO MATAJI SITA, KESHO KWA MKAPA MSIKOSE
ADUI NAMBA MOJA WA NYAVU AWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

 MABOSI wa Azam FC rasmi wametangaza kuachana na mipango ya kumsajili aliyekuwa kiungo mchezeshaji fundi raia wa Kenya, Francis Kahata.

 

Awali, Azam na Yanga walitajwa kuingia kwenye vita ya kuwania saini ya kiungo huyo rasta ambaye hivi sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake kumalizika wiki iliyopita kabla ya kurejea kwao Kenya.

 

Championi Ijumaa, limejiridhisha kwa mabosi wa Azam kuwa kiungo huyo hatasajiliwa huku wakiweka mipango mingine katika usajili wa msimu ujao.


Mmoja wa mabosi wa Azam alisema kuwa wana mikakati mizito ya kutengeneza kikosi imara kitakachofanya vizuri katika michuano ya kimataifa, mwakani.

 

Bosi huyo alisema kuwa tayari wana orodha ya wachezaji waliopo katika mipango yao lakini siyo Kahata ambaye hakuwa anapata nafasi ya kucheza katika kikosi cha Simba.

 

“Kahata aliwahi kuletwa kwa uongozi kwa ajili ya kukamiliksha mipango ya kumsajili, lakini ikashindikana kutokana na mipango yetu tuliyokuwa nayo katika kukisuka kikosi kitakachokuwa imara na tishio.

 

“Hivyo Kahata rasmi tumesitisha mipango yetu ya kumsajili na badala yake tumemuacha aende kwingine, atakapotaka kwenda kucheza lakini siyo Azam,” alisema bosi huyo.


Ofisa Habari wa timu hiyo, Thabit Zakaria alisema: “Muda wetu wa usajili bado na kila kitu kitajulikana mara baada ya ligi kumalizika.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: DILI LA KAHATA KUIBUKIA AZAM FC LIMEKUWA GUMU
DILI LA KAHATA KUIBUKIA AZAM FC LIMEKUWA GUMU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiy6hwmzF4cXiynCLQj0sW4ncpyMcTz8oOkAkAW8xwwkPDwL2AFgVOg01Yi5WtA-pBru8Ksd-Gf0MtePgEYk_d5iIyotxslnoHl8C-a0ZskengZmkjrHb8tjNYRo3hKfyjz0VuYp04v64t/w640-h360/Kahata+v+Al+Ahly.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiy6hwmzF4cXiynCLQj0sW4ncpyMcTz8oOkAkAW8xwwkPDwL2AFgVOg01Yi5WtA-pBru8Ksd-Gf0MtePgEYk_d5iIyotxslnoHl8C-a0ZskengZmkjrHb8tjNYRo3hKfyjz0VuYp04v64t/s72-w640-c-h360/Kahata+v+Al+Ahly.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/dili-la-kahata-kuibukia-azam-fc.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/dili-la-kahata-kuibukia-azam-fc.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy