CHELSEA WAANZA MAZUNGUMZO NA HAALAND
HomeMichezo

CHELSEA WAANZA MAZUNGUMZO NA HAALAND

KLABU ya Chelsea imeanza mazungumzo na Klabu ya Borussia Dortumund kwa ajili ya kumpata Erling Baraut Haaland licha ya kwamba kuna mazingi...

PIRA KODI LEO KUCHEZWA MBELE YA POLISI TANZANIA
DITRAM NCHIMBI, ADEYUM KUIKOSA COASTAL UNION LEO MKWAKWANI
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

KLABU ya Chelsea imeanza mazungumzo na Klabu ya Borussia Dortumund kwa ajili ya kumpata Erling Baraut Haaland licha ya kwamba kuna mazingira magumu ya kuweza kufanikisha dili hilo.

Borussia Dortmund wameweka wazi kwamba hawana nia ya kumuuza mshambuliaji huyo msimu huu ila matamanio ya Haaland ni kuona kwamba timu hiyo inafanya mazungumzo na baadhi ya timu ili kuweza kuona namna gani anaweza kupata changamoto mpya.

Ikiwa dili lake litakamilika dau ambalo linatajwa kumuondoa ndani ya kikosi hicho mpaka kwa Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ambao ni Chelsea wanaonolewa na Kocha Mkuu, Thomas Tuchel litawagharimu Euro milioni 170.

Chelsea ina wachezaji ambao itahitaji kuwatumia ili kupunguza gharama ya dau hilo ikiwa ni pamoja na Tammy Abraham ambaye dau lake ni Euro 40. Pia Tuchel amemwambia mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich kwamba ikiwa atampata mshambuliaji huyo itakuwa faida kwao na wataweza kushindana na timu kama Manchester City ambao nao pia wanatajwa kuwania saini ya nyota huyo.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: CHELSEA WAANZA MAZUNGUMZO NA HAALAND
CHELSEA WAANZA MAZUNGUMZO NA HAALAND
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkHym6BHRRLtAK5CLcWmflWqbNWFUavhSvaXMqvwS_JkqMDuywu0_oBzeYPTTYjFxwmJRkb5eGwNJWlISdCqf9vridkkm2l_iq7uH1KYPaU5MGYS3gKYjlcr5bshe1ZGZm5rvZaI3dUIkY/w640-h426/Haaland+Tena.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkHym6BHRRLtAK5CLcWmflWqbNWFUavhSvaXMqvwS_JkqMDuywu0_oBzeYPTTYjFxwmJRkb5eGwNJWlISdCqf9vridkkm2l_iq7uH1KYPaU5MGYS3gKYjlcr5bshe1ZGZm5rvZaI3dUIkY/s72-w640-c-h426/Haaland+Tena.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/chelsea-waanza-mazungumzo-na-haaland.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/chelsea-waanza-mazungumzo-na-haaland.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy