Waliochoma chanjo ya corona tu ndio wataruhusiwa kuhiji Mecca mwaka huu
HomeHabari

Waliochoma chanjo ya corona tu ndio wataruhusiwa kuhiji Mecca mwaka huu

Mamlaka za nchini Saudi Arabia zimesema watu waliopata chanjo ya corona peke yake ndio wataruhusiwa kufanya ibada ya Hija mwaka huu huko ...

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH ....Anatafsri Nyota, Pete za Bahati
TANZIA: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira Afariki Dunia
Rais Samia akutana na kuzungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza , Tony Blair


Mamlaka za nchini Saudi Arabia zimesema watu waliopata chanjo ya corona peke yake ndio wataruhusiwa kufanya ibada ya Hija mwaka huu huko Mecca.

Wizara ya Hija na Umrah imetoa taarifa kuwa watu waliopata chanjo pekee ndio watakuwa na vigezo vya kujihi mwaka huu katika mji mtakatifu wa Mecca.

"Watu ambao tayari wamepata chanjo dozi mbili za COVID-19, na wale ambao wamepata chanjo dozi moja ya corona siku 14 kabla ya Hija au mtu ambaye ametoka kupona corona", wizara imesema.

Wizara hiyo imesema pia kuwa itazingatia taratibu zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya corona.

Haijawekwa wazi kama sera hiyo itaendelea mpaka wakati wa Hija kuu baadae mwaka huu.

Saudi Arabia imeripoti kuwa na maambukizi ya virusi vya corona zaidi ya watu 393,000 na zaidi ya vifo 6,700 vinavyotokana na virusi hivyo.

Wizara ya afya ya taifa hilo imesema watu zaidi ya milioni tano wamepata chanjo dhidi ya corona, katika taifa lenye watu zaidi ya milioni 34.

Credit:BBC



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waliochoma chanjo ya corona tu ndio wataruhusiwa kuhiji Mecca mwaka huu
Waliochoma chanjo ya corona tu ndio wataruhusiwa kuhiji Mecca mwaka huu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiuoQ0dbLthjQ7oMFFBSgA66ehCoJvIKHKz3s6KrAWUAq_4-Sf-cfEYwXGykAFhwr8XFaMYZJwd37EVuglXXHnS3vHI2liPiGfPG9ATyF40KaPjkx_Ih3iUUqebaV3fAw0GjzwfT_lNTbE3/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiuoQ0dbLthjQ7oMFFBSgA66ehCoJvIKHKz3s6KrAWUAq_4-Sf-cfEYwXGykAFhwr8XFaMYZJwd37EVuglXXHnS3vHI2liPiGfPG9ATyF40KaPjkx_Ih3iUUqebaV3fAw0GjzwfT_lNTbE3/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/waliochoma-chanjo-ya-corona-tu-ndio.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/waliochoma-chanjo-ya-corona-tu-ndio.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy