KUMEKUCHA YANGA, KOCHA HUYU KUPEWA MIKOBA YA KAZE
HomeMichezo

KUMEKUCHA YANGA, KOCHA HUYU KUPEWA MIKOBA YA KAZE

 UONGOZI wa Yanga, unatarajiwa  kumpokea kocha ambaye ataifundisha timu  hiyo akichukua mikoba ya Mrundi, Cedric Kaze  aliyetimuliwa Machi...

VIDEO:SIMBA:MUGALU ALISHINDWA KUFUNGA MABAO,PENGO LA CHAMA NA LUIS
VIDEO:MAKAMBO:SIMBA NI TIMU KUBWA, HAYA NI MATOKEO
WISSA MTIBUAJI WA MAMBO ULAYA

 UONGOZI wa Yanga, unatarajiwa 
kumpokea kocha ambaye ataifundisha timu hiyo akichukua mikoba ya Mrundi, Cedric Kaze aliyetimuliwa Machi 7, mwaka huu.

Makocha wawili mpaka sasa ndiyo wanatajwa kwamba mmoja wao anaweza kuinoa Yanga ambapo makocha hao wote wamepita Al Merrikh ya Sudan ambao ni Mserbia, Miodrag Ješić na Mtunisia, Nasreddine Nabi.

Ješić ndiye alikuwa wa kwanza kutua Al Merrikh ikiwa ni siku chache tu tangu Didier Gomes kuachana na timu hiyo na kutua Simba alipo sasa.

Siku mbili baada ya Al Merrikh kumtambulisha Ješić kama Mkurugenzi wa Ufundi, ndipo Nasreddine akatambuliwa kuwa kocha mkuu, akaiongoza timu hiyo kwenye mechi tatu za Ligi ya Mabingwa Afrika akipoteza dhidi ya Al Ahly na AS Vita, kisha sare na Simba, akatimuliwa.

Timu ikakabidhiwa kwa Muingereza, Lee Clark ambaye anainoa timu hiyo kwa sasa ikiwa imeishia hatua ya makundi.


Wakati Yanga ikiwa kwenye mchakato wa kumpata mrithi wa Kaze, makocha wengi wamehusishwa akiwemo Nikola Kovazovic, Hubert Velud, Sebastian Migne, kabla ya kuibuka kwa makocha hao wawili.


Chanzo chetu kimeliambia Spoti Xtra kuwa, tayari Kamati ya Utendaji ya Yanga, imeshampata kocha ambaye atakuja kuinoa timu hiyo ambayo kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mwambusi.


“Baada ya kupitia CV nyingi na kujiridhisha juu ya kocha tunayemuhitaji, Jumapili au Jumatatu, tutakuwa na kazi ya kumpokea kocha wetu mwenye CV kubwa sana Afrika, maana ni kocha aliyewahi kuzinoa moja ya timu kubwa za Sudan.

“Tayari tumeshafanya maandalizi yake kwa maana ya kumtumia tiketi na mapokezi, japo ratiba ya ndege ya nchi anayotokea ambayo siwezi kukuambia kwa sasa ilikuwa na mkanganyiko, lakini mambo yamekaa sawa na ndani ya siku mbili hizi nilizokwambia atakuja kujiunga nasi,” kilisema Chanzo hicho.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KUMEKUCHA YANGA, KOCHA HUYU KUPEWA MIKOBA YA KAZE
KUMEKUCHA YANGA, KOCHA HUYU KUPEWA MIKOBA YA KAZE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNXvBcPuhQ_k_4aRS226J0BFtP8BvNZndXcN_OlgiRfwPbyJ569Ko4T8IaALsYRpKudnwp3IGhWRp2EnINzCC1jIRB6dVsfQ50GfVxwGz3owHCdtS3EnqRsKoy-Emd7ax7QrxxTGnTFwJi/w640-h432/Nabi+wa+Yanga.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNXvBcPuhQ_k_4aRS226J0BFtP8BvNZndXcN_OlgiRfwPbyJ569Ko4T8IaALsYRpKudnwp3IGhWRp2EnINzCC1jIRB6dVsfQ50GfVxwGz3owHCdtS3EnqRsKoy-Emd7ax7QrxxTGnTFwJi/s72-w640-c-h432/Nabi+wa+Yanga.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/kumekucha-yanga-kocha-huyu-kupewa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/kumekucha-yanga-kocha-huyu-kupewa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy