GUARDIOLA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE FA AWACHANA WANAOIBEZA TIMU YAKE
HomeMichezo

GUARDIOLA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE FA AWACHANA WANAOIBEZA TIMU YAKE

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa licha ya kufanya mabadiliko kwenye kikosi chake kutoka kile ambacho kilishinda m...

SIMBA KUIBUKIA SONGEA
URENO YAWAAMBIA MASHABIKI WAKAE MKAO WA KULA
YANGA YAMJUMUISHA KIPA WA KIKOSI B KWENYE MSAFARA

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa licha ya kufanya mabadiliko kwenye kikosi chake kutoka kile ambacho kilishinda mbele ya Borussia Dortmund katika Champions League wiki iliyopita bado alikuwa anawaheshimu wapinzani wake Chelsea kwenye mchezo wake wa nusu fainali ya Kombe la FA.

City jana ilikuwa anapambana na Kocha Mkuu wa Chelsea, Thomas Tuchel ambaye yeye alikuwa amefanya mabadiliko kwa wachezaji wake watatu na alishuhudia timu yake ikishinda bao 1-0 mbele ya City kwa bao la Hakim Ziyech dakika ya 55 na kufanya Chelsea kutinga hatua ya fainali ya Kombe la FA.

Guardiola amesema:"Unadhani kwamba sikuweza kuweka nguvu kubwa kwenye mchezo wetu wa Kombe la FA? Unadhani kwamba Sterling ama Ferran Torres ama Gabriel Jesus hawastahili kucheza mchezo huu.

"Hatukuwa tumekata tamaa tulikuwa tunahitaji kufika kwenye fainali ya Kombe la FA ila tumepoteza. Kwa maana hiyo ikitokea umeshinda ina maanisha kwamba maamuzi yalikuwa mabaya?



"Rafiki yangu haipo hivyo haikuwa bahati yetu jambo ambalo limefanya tumeshindwa kupata ushindi. Timu ambayo imetinga hatua ya nusu fainali huwezi kuibeza labda useme kwamba tumepoteza mchezo hilo lipo wazi.

"Ulikuwa ni mchezo mgumu ninawapongeza wapinzani wetu Chelsea kwa ushindi. Licha ya kuwa na mabadiliko ya wachezaji hawa nane unadhani kama ingetokea tukashinda hapo mambo yangekuwaje? "



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: GUARDIOLA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE FA AWACHANA WANAOIBEZA TIMU YAKE
GUARDIOLA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE FA AWACHANA WANAOIBEZA TIMU YAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgByEHHe4aB9Hh3l6rzpS8Vfd4fYNNctx8FhGFZbVFuWqhTTeq3cpWWB71Q8gyknVfPG26X4_ky_tzjazfNj48y16RmeqdVuy7dHBBS1SVGX_EJAeoUq6ZYWOdE1O5sN_hOyzbs3kIlr2Co/w640-h438/Guadi+bana.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgByEHHe4aB9Hh3l6rzpS8Vfd4fYNNctx8FhGFZbVFuWqhTTeq3cpWWB71Q8gyknVfPG26X4_ky_tzjazfNj48y16RmeqdVuy7dHBBS1SVGX_EJAeoUq6ZYWOdE1O5sN_hOyzbs3kIlr2Co/s72-w640-c-h438/Guadi+bana.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/guardiola-baada-ya-kutolewa-kwenye-fa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/guardiola-baada-ya-kutolewa-kwenye-fa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy