Serikali yawaasa Wafungwa kufanya ibada
HomeHabari

Serikali yawaasa Wafungwa kufanya ibada

 Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewaasa wafungwa wote nchini kuzidisha kufanya ibada sambamba na kuzidisha kumuomba mungu ili wakitoka waende...

Tangazo la Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali za Umma kwa Waliofanya Usaili tarehe 06 na 08 Desemba, 2021
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara aagiza waliopandishiwa nauli kurudishiwa
Dk Mwinyi afanya uteuzi Wizara ya Utalii

 Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imewaasa wafungwa wote nchini kuzidisha kufanya ibada sambamba na kuzidisha kumuomba mungu ili wakitoka waende kuwa raia wema Pamoja na kukamilisha ndoto zao walizokua nazo

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Chilo katika kikao kikao cha ndani kilichohusisha wafungwa na mahabusu katika gereza la wilaya ya Sindida mjini ambapo pia alipata fursa ya kuwasikiliza wafungwa ambao walitoa maoni,mapendekezo na changamoto mbalimbali walizokua nazo ikiwemo kuchelewa kwa upepelezi wa kesi zao.


“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawategemea sana hasa vijana na Taifa hili linawategemea sana,hapa naona vijana mko wengi vijana ndio nguvu kazi ya Taifa,sasa endeleeni kuwa raia wema,ukitoka hapa kifungoni nenda kawe raia mwema,mkitoka hapa nendeni mkaendeleze ndoto zenu,fanyeni ibada muombeni mungu sana fanyeni ibada huwezi kujua ukitoka hapa utaenda kuwa nani maana historia inatuonyesha wako watu mbalimbali walikua wafungwa lakini walivyomaliza vifungo vyao walienda kuwa viongozi wakubwa tu.” Alisema Naibu Waziri Chilo

Akisoma taarifa ya gereza mbele ya Naibu Waziri, Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Singida, amesema katika gereza hilo kuna shughuli mbalimbali za uzalishaji ikiwemo kilimo cha mahindi,maharage,kilimo cha mbogamboga,ufyatuaji wa tofali,ufugaji wa Samaki,ujenzi wa nyumba za makazi ya askari.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Serikali yawaasa Wafungwa kufanya ibada
Serikali yawaasa Wafungwa kufanya ibada
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3EImQZfCIsimhbnMhLc2l0_cmro7MDRxf1jKUiimF629DHFQWWrUZlMz49UGGRHstzgKaWAqLKC_0wslHKeUiOlwl1SzWTQNmIhnQQh1kdvUtxUNUGgHseqmwmC9cyxBShkeEZOEOFKlm/s0/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3EImQZfCIsimhbnMhLc2l0_cmro7MDRxf1jKUiimF629DHFQWWrUZlMz49UGGRHstzgKaWAqLKC_0wslHKeUiOlwl1SzWTQNmIhnQQh1kdvUtxUNUGgHseqmwmC9cyxBShkeEZOEOFKlm/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/serikali-yawaasa-wafungwa-kufanya-ibada.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/serikali-yawaasa-wafungwa-kufanya-ibada.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy