PICHA: Mwili wa Hayati Magufuli Ulivyopokelewa Kishujaa Jijini Dodoma
HomeHabari

PICHA: Mwili wa Hayati Magufuli Ulivyopokelewa Kishujaa Jijini Dodoma

 Vilio, huzuni na machozi  vilitawala kila kona ya Jiji la Dodoma baada  ya mwili wa aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk J...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo October 10
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo October 9
Waziri Mkuu Majaliwa Amsimamisha Kazi Afisa Mipango Liwale

 Vilio, huzuni na machozi  vilitawala kila kona ya Jiji la Dodoma baada  ya mwili wa aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli aliyefariki Machi 17 mwaka huu kutua jijini Dodoma.


Mwili wa Dk Magufuli ulitua katika uwanja wa Ndege wa Dodoma majira ya saa 12:54 za jioni na kupokelewa na Rais Mama Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Wananchi wa Jiji la Dodoma ambao licha ya mwili wa Hayati Dk Magufuli kuchelewa kufika bado walizidi kujipanga barabarani bila kuchoka wakiimba nyimbo za mapambio.

Wingi wa wananchi waliojumuika kwenye barabara za jiji la Dodoma wakiimba 'Jeshi Jeshi Jeshi, Rais Rais Rais, Baba Baba Baba, Magu Magu Magu huku wengine wakilia ni uthibitisho tosha kwamba Dk Magufuli alikua kipenzi cha watanzania.

Wananchi wa Dodoma waliusindikiza mwili wa Dk Magufuli kutokea Uwanja wa Ndege kupitia mitaa ya Chako Ni Chako kuelekea Bunge hadi Ikulu Chamwino .



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: PICHA: Mwili wa Hayati Magufuli Ulivyopokelewa Kishujaa Jijini Dodoma
PICHA: Mwili wa Hayati Magufuli Ulivyopokelewa Kishujaa Jijini Dodoma
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyHLGZ1hF7S1j7-NdeyrmE1MaNfX2aKzNTBB3NIFWhVyhyphenhyphenbhzuU_XDR06SZfiUdSwzY9GD8GKuafFOBVwqpxPzElTrwO3SZiw5QB-tF3WT1O0hnojVvlcoBkXkZVgyhPAD6bVxiknLYqum/s0/6.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyHLGZ1hF7S1j7-NdeyrmE1MaNfX2aKzNTBB3NIFWhVyhyphenhyphenbhzuU_XDR06SZfiUdSwzY9GD8GKuafFOBVwqpxPzElTrwO3SZiw5QB-tF3WT1O0hnojVvlcoBkXkZVgyhPAD6bVxiknLYqum/s72-c/6.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/picha-mwili-wa-hayati-magufuli.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/picha-mwili-wa-hayati-magufuli.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy