AZAM FC YAKOMAA NA JAMBO LAO
HomeMichezo

AZAM FC YAKOMAA NA JAMBO LAO

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa unafikiria kurejea kwenye nafasi yao ambayo walianza nayo kwenye mzunguko wa kwanza ambayo ilikuwa ni...


UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa unafikiria kurejea kwenye nafasi yao ambayo walianza nayo kwenye mzunguko wa kwanza ambayo ilikuwa ni namba moja kwa kuwa bado wana jambo lao.

Azam FC kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 24 imekusanya point 44 na kinara ni Yanga mwenye pointi 50 baada ya kucheza mechi 23.

Mzunguko wa kwanza Azam FC ilianza kwa kasi na ilicheza jumla ya mechi 7 bila kupoteza na kufanikiwa kukaa kileleni kwa muda na pointi zao 21 kibindoni zama za kocha Arstica Cioaba ambaye alifutwa kazi kwa kile kilichoelezwa kuwa mwendo wake haukuwa bora.

Kwa sasa kikosi kipo chini ya Kocha Mkuu, George Lwandamina ambaye anaendelea na majukumu ya kuwanoa matajiri hao wa Dar.

Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kupata matokeo chanya kwenye mechi zao zote ili kurudi kwenye nafasi itakayowafanya waweze kutimiza malengo waliyojiwekea.

"Azam FC tunapenda kuona kwamba kwenye kila mechi tunapata matokeo chanya kwa kuwa  malengo ili yatimie ni lazima kupata matokeo hakuna jambo lingine.

"Tunahitaji kuona kwamba baada ya msimu kuisha tunaweza kutimiza jambo letu hivyo mashabiki waendelee kutupa sapoti kila kitu kinawezekana," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC YAKOMAA NA JAMBO LAO
AZAM FC YAKOMAA NA JAMBO LAO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEic0jcKNYHNC3lktU3U9WFkmfkSi41aciUf2qwcT2iOcWCIS-a07K4q9w4pevM8CyDh1_uVb2277PhSMkwjBdkkuZtC3N70-ZuQTkxFtqBOHKh-SAIFrhL9OJtFORg0D6u5oCsQ9FPLv-DC/w640-h616/Azam+v+Biashara.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEic0jcKNYHNC3lktU3U9WFkmfkSi41aciUf2qwcT2iOcWCIS-a07K4q9w4pevM8CyDh1_uVb2277PhSMkwjBdkkuZtC3N70-ZuQTkxFtqBOHKh-SAIFrhL9OJtFORg0D6u5oCsQ9FPLv-DC/s72-w640-c-h616/Azam+v+Biashara.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/azam-fc-yakomaa-na-jambo-lao.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/azam-fc-yakomaa-na-jambo-lao.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy