FISTON: TULIAMBIWA MAPEMA KWAMBA TUNAFUNGWA KWA MIPIRA ILIYOKUFA
HomeMichezo

FISTON: TULIAMBIWA MAPEMA KWAMBA TUNAFUNGWA KWA MIPIRA ILIYOKUFA

 MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga, raia wa Burundi, Fiston Abdulazack amesema kuwa suala la sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Polisi Tanzan...

Falcao atoroka uwanjani
Soccer: Kikosi bora cha Dunia

 MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga, raia wa Burundi, Fiston Abdulazack amesema kuwa suala la sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Polisi Tanzania wachezaji walifanya uzembe kwa kujisahau baada ya kutangulia kufunga.

Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abed, Machi 7 ambao ulikuwa ni wa mwisho kwa benchi la ufundi lililokuwa likiongozwa na Cedric Kaze nyota huyo alifunga bao mapema.

Nyota huyo amesema kuwa mwalimu aliwaambia siku moja kabla ya mechi na hata siku ya mechi kwamba wamekuwa wakifungwa kwa mipira iliyokufa hivyo wanapaswa waongeze umakini.

Ilikuwa dakika ya 41 alifunga bao la utangulizi na kuwafanya Yanga waamini kwamba wamekamilisha kazi ya kusaka pointi tatu na dakika ya 89 Pius Buswita alifunga bao liliwatoa kwenye reli ya kusepa na pointi tatu.

Nyota huyo ambaye ni ingizo jipya ndani ya Yanga akiwa amesaini dili la miezi sita amesema kuwa wanaopaswa kulaumiwa kwa matokeo hayo ya sare ni wachezaji.

"Naweza kusema kwamba sisi wachezaji tunapaswa kulaumiwa kwa sababu ilikuwa ni furaha tukiamini kwamba tumeshinda ilihali bado tuna kazi ya kufanya kulinda na kuongeza bao jingine.

"Mwisho wa siku kujisahau kwetu kumetuponza licha ya kwamba mwalimu alituambia kwamba makosa yetu yapo kwenye mipira iliyokufa na tukafungwa kwa mipira iliyokufa," amesema.

Kwa sasa Yanga ipo kwenye mchakato wa kumtafuta kocha mpya ambaye atakuja kurithi mikoba ya Kaze ambaye amekiacha kikosi kikiwa nafasi ya kwanza na pointi 50.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: FISTON: TULIAMBIWA MAPEMA KWAMBA TUNAFUNGWA KWA MIPIRA ILIYOKUFA
FISTON: TULIAMBIWA MAPEMA KWAMBA TUNAFUNGWA KWA MIPIRA ILIYOKUFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIKr3rd065uj5PEiYZZCOQPASCxBOWGuuArXWfdtg0baqPeDjYew0kekXWYDq3Zxgp2225YZhJasnlsgkkla5pp9kg8hBWq0Og1oJTTTy3inZH3GPDE4xvAQDtuMNEOglgD34BywNOk1g3/w640-h512/Fiston+v+Polisi.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIKr3rd065uj5PEiYZZCOQPASCxBOWGuuArXWfdtg0baqPeDjYew0kekXWYDq3Zxgp2225YZhJasnlsgkkla5pp9kg8hBWq0Og1oJTTTy3inZH3GPDE4xvAQDtuMNEOglgD34BywNOk1g3/s72-w640-c-h512/Fiston+v+Polisi.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/fiston-tuliambiwa-mapema-kwamba.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/fiston-tuliambiwa-mapema-kwamba.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy