Myanamar: Jeshi latangaza hali ya dharura na kuchukua madaraka Baada ya Kumkamata Kiongozi wa Nchi Hiyo
HomeHabari

Myanamar: Jeshi latangaza hali ya dharura na kuchukua madaraka Baada ya Kumkamata Kiongozi wa Nchi Hiyo

 Jeshi la Myanmar limetangaza hali ya dharura likidai udanganyifu wa kura katika uchaguzi, baada ya kuwakamata viongozi kadhaa akiwemo Au...

LIVE: Kilele Cha Maadhimisho Ya Sherehe Za Mei Mosi Kitaifa Uwanja Wa Ccm Kirumba Mwanza
Rais Samia atakuwa Mgeni Rasmi Mei Mosi leo Jijini Mwanza.
Serikali Yafunga mtambo wa kisasa JKCI wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6


 Jeshi la Myanmar limetangaza hali ya dharura likidai udanganyifu wa kura katika uchaguzi, baada ya kuwakamata viongozi kadhaa akiwemo Aung San Suu Kyi.

Jeshi la Myanmar limetangaza hali ya dharura kwa muda wa mwaka mmoja na kumuweka jenerali wa zamani kama rais, kimetangaza Jumatatu kituo cha televisheni cha Myawaddy kinachomilikiwa na jeshi.

Jenerali wa zamani Myint Swe, ambaye awali alikuwa makamu wa rais, ametangazwa kama kaimu rais.

Hata hivyo, katika hali hiyo ya dharura kamanda mkuu wa jeshi Min Aung Hlaing amechukuwa udhibiti kamili wa nchi hiyo.

Tangazo hilo la jeshi limetolewa kufuatia kukamatwa kwa kiongozi wa Myanamar Aung San Suu Kyi baada ya siku kadhaa za mivutano nchini humo iliyozua hofu ya kutokea mapinduzi.

Rais Win Myint na viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa chawa tawala pia wamekamatwa mapema Jumatatu, amesema Myo Nyun msemaji wa chama hicho cha National League for Democracy .

Akizungumza kwa njia ya simu na shirika la habari la dpa, Nyun amesema wakati wowote naye anaweza kukamatwa na wanajeshi hao.

Tangu wiki iliyopita jeshi la Myanmar limekuwa likitishia kufanya mapinduzi kwa madai kwamba kulifanyika udanganyifu katika uchaguzi uliopita wa mwezi Novemba uliokipa ushindi chama cha Suu Kyi cha NLD.

 

Credit:DW



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Myanamar: Jeshi latangaza hali ya dharura na kuchukua madaraka Baada ya Kumkamata Kiongozi wa Nchi Hiyo
Myanamar: Jeshi latangaza hali ya dharura na kuchukua madaraka Baada ya Kumkamata Kiongozi wa Nchi Hiyo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXeeHeqk-QxBcFGAx_fDsNIvgVBoLBT57wSQmItRTlZM1l4Od7Tsk7mq3XKlhkCYuD8cqOH6asxSPpqXEv_rWAaAFtj9i_m7Ydn6K_kA3xfdlUBylUTgZdeK883xtoQIy2H1WBCuAM2A4G/s16000/1.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXeeHeqk-QxBcFGAx_fDsNIvgVBoLBT57wSQmItRTlZM1l4Od7Tsk7mq3XKlhkCYuD8cqOH6asxSPpqXEv_rWAaAFtj9i_m7Ydn6K_kA3xfdlUBylUTgZdeK883xtoQIy2H1WBCuAM2A4G/s72-c/1.webp
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/myanamar-jeshi-latangaza-hali-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/myanamar-jeshi-latangaza-hali-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy