AZAM FC KUTUMIA MBINU ZA MAZEMBE KUIUA SIMBA SC
HomeMichezo

AZAM FC KUTUMIA MBINU ZA MAZEMBE KUIUA SIMBA SC

   UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mchezo wao wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe uliochezwa Februari 2 umewapa nguvu ya ku...

AZAM KUFUNGA TAA KWENYE VIWANJA 4 VYA LIGI KUU -VIDEO
MERIDIAN BET YAMSAIDIA MTOTO ALIYEZALIWA NA KANSA YA MACHO
SIMBA KUWAFUATA BIASHARA UNITED LEO

 


 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mchezo wao wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe uliochezwa Februari 2 umewapa nguvu ya kuweza kujua namna gani wataweza kuwakabili wapinzani wao Simba.

Azam FC ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Azam Complex ambapo wapinzani wao Simba walipocheza na TP Mazembe kwenye mchezo wa Simba Super Cup dakika 90 zilikamilika kwa timu hizo kutoshana nguvu bila kufungana.

Azam FC ilianza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Nevere Tigere kwa mpira wa adhabu ambapo lilisawazishwa na nyota wa TP Mazembe Adam Boso akiwa ndani ya 18.

Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa maandalizi yapo vizuri na wanaamini watapata matokeo chanya mbele ya Simba ndani ya uwanja.


“Kupitia mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe, kocha George Lwandamina kuna kitu amekipata na anaamini kwamba ni kipimo sahihi kwa wachezaji wake kuelekea kwenye mchezo wetu dhidi ya Simba.

"Taswira kamili kuelekea kwenye mechi zetu za ligi imepatikana na kile ambacho mwalimu alikuwa anahitaji amekipata hivyo hakuna mashaka, sisi tupo tayari kwa ushindani.

"Malengo yetu ni kuona kwamba tunaweza kurejea kwenye ile kasi ambayo tulianza nayo wakati ule wa ligi ikianza hivyo tutapambana kurudi kwenye mstari,".

Azam FC ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi 32 baada ya kucheza jumla ya mechi 17 inakutana na Simba iliyo nafasi ya pili na pointi zake ni 38.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8​ ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

UWOYA Avunja UKIMYA Ishu ya H BABA - "NATAMANI KUWA MCHUNGAJI SIKU MOJA"



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC KUTUMIA MBINU ZA MAZEMBE KUIUA SIMBA SC
AZAM FC KUTUMIA MBINU ZA MAZEMBE KUIUA SIMBA SC
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWCfCkEEU_TTuszkuOYZZIuZpM3UIDVVwj4OZ-QcU47CFrwFnEBHDhNgOFmu8zqnJ6PVeI3YHTaxODNZlxjid4PiiV0s5xE16QGvCaLeNPqKQvkqUAPulHfAqt988OVKf8dT11rL9N37Rr/w640-h640/AZAM+FC+%25281%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWCfCkEEU_TTuszkuOYZZIuZpM3UIDVVwj4OZ-QcU47CFrwFnEBHDhNgOFmu8zqnJ6PVeI3YHTaxODNZlxjid4PiiV0s5xE16QGvCaLeNPqKQvkqUAPulHfAqt988OVKf8dT11rL9N37Rr/s72-w640-c-h640/AZAM+FC+%25281%2529.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/azam-fc-kutumia-mbinu-za-mazembe-kuiua.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/azam-fc-kutumia-mbinu-za-mazembe-kuiua.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy