Serikali kufutia leseni kwa wanaopandisha bei ya mafuta ya kupikia
HomeHabari

Serikali kufutia leseni kwa wanaopandisha bei ya mafuta ya kupikia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na b...

Upatikana Wa Saruji Nchini Ni wa Kuridhisha: Prof. Mkumbo
Lengai Ole Sabay na Wenzake Watiwa Hatiani
Habari Zilizop Katika Magazeti ya Leo October 16


Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na bei elekeze kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kufutiwa leseni zao za biashara.

Waziri Mwambe ametoa onyo hilo jijini Dodoma wakati akizungumza na wandishi wa habari juu ya mfumuko wa bei ya mafuta ambao umekua mkubwa kwa siku za  hivi karibuni.

“Kwa sasa changamoto ya bei haitakuwepo na tayari tumeshawapunguzia waagizaji baadhi ya gharama za kushusha mafuta pale bandarini lakini pia niwahakikishie watanzania uhaba wa mafuta hauwezi kuendelea kwani Februari 17 kuna meli ya mafuta itawasili na nimeagiza isichukue muda mrefu kushusha pale bandarini hadi Februari 20 meli hiyo iwe imeshashusha mafuta” amesema.

Amewataka watanzania hususa ni vijana kuchukulia changamoto ya uzalishaji wa mafuta nchini kuwa ni fursa kutokana na kuwa na ardhi inayokubali mazao ya mafuta amesema ni wajibu kwa wakulima kulima kwa wingi mazao hayo.

Aidha waziri Mwambe ametoa maelekezo kwa Tume ya Ushindani kuhakikisha wanafuafitilia mwenendo wa mafuta nchini huku akiwataka kumuandalia ripoti ya hali ya bidhaa hiyo hapa nchini nchini.

Amewataka Wakuu wa Mikoa ambao mikoa yao ina ardhi inayokubali mazao ya mafuta kama michikichi, alizeti na karanga na mazao mengine ya mafuta kuhamasisha Wananchi wao kujikita kwenye kilimo hicho ili kuweza kujikwamua kiuchumi wao wenyewe lakini pia kuzalisha mbegu ambazo zitatumika na viwanda vya ndani na kupunguza  uagizwaji wa mafuta nje ya Nchi.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Serikali kufutia leseni kwa wanaopandisha bei ya mafuta ya kupikia
Serikali kufutia leseni kwa wanaopandisha bei ya mafuta ya kupikia
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVRcG7gThyphenhyphen8eMqDZFcopul6LxDJqtRdW5E1Yo4Gn4hFbi7yta4IoIft3z27HQzZ5Cag5GuMAYffLHRJ8XImAjBYNm7Nc75V3FG10NpjZJv7fn4Gr3UMEDHezWIiZBXqrf10mgIwTAiHfX3/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVRcG7gThyphenhyphen8eMqDZFcopul6LxDJqtRdW5E1Yo4Gn4hFbi7yta4IoIft3z27HQzZ5Cag5GuMAYffLHRJ8XImAjBYNm7Nc75V3FG10NpjZJv7fn4Gr3UMEDHezWIiZBXqrf10mgIwTAiHfX3/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/serikali-kufutia-leseni-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/serikali-kufutia-leseni-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy