MWIGIZAJI asiyekaukiwa matukio Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa amekwenda kwa mganga (babu) Mtwar...
MWIGIZAJI asiyekaukiwa matukio Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa amekwenda kwa mganga (babu) Mtwara kwa ajili ya kuweka zindiko wabaya wake wasimsumbue.
Akipiga
stori na mwanahabari wetu, Aunty Lulu alisema kuna wabaya wake wamekuwa
wakimfanyia ‘mambo’ mabwana zake wayeyuke hivyo hayupo tayari kuona
nyota yake inafifia.
“Nimeona bora nikarekebishe kidogo maana mjini kila kukicha watu wanakutafuta na kukuharibia mambo yako, niko fiti sasa,” alisema Aunty Lulu.
“Nimeona bora nikarekebishe kidogo maana mjini kila kukicha watu wanakutafuta na kukuharibia mambo yako, niko fiti sasa,” alisema Aunty Lulu.
COMMENTS