Niyonzima aitwa timu ya Taifa
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Haruna Niyonzima
HomeMichezoKitaifa

Niyonzima aitwa timu ya Taifa

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Haruna Niyonzima Nahodha wa timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima ameitwa kwenye kikosi cha wach...

Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka..Wanachama Watatu Wafikishwa Kizimbani
Dr. Slaa na Makada 3 wa CHADEMA Kupelekwa Kortini na Polisi Kwa Tuhuma za Kumpiga Kagenzi ambaye Alikuwa Mlinzi Wake
Katibu feki wa Ikulu akamatwa

Nahodha wa timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima ameitwa kwenye kikosi cha wachezaji 25 wenye umri chini ya miaka 23 kitakachopambana na timu ya taifa ya Tanzania tarehe 22 mwezi huu.

Mchezaji huyu anacheza mpira wa kulipwa kwenye klabu ya Yanga lakini  hakuwemo kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Rwanda kilichopambana dhidi ya Morocco mwezi wa kumi na moja mwaka jana  baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho Stephen Constantine kusema yuko kwenye maandalizi ya kuandaa timu itakayoshiriki fainali za (Chan) mwaka ujao.
Mwaka ujao nchi ya Rwanda itakuwa mwenyeji wa mashindano  ya soka ya bara la Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani.

Wachezaji walioitwa kuunda kikosi hicho ni:
Walinda mlango: Marcel Nzarora (Police), Olivier Kwizera (APR) and Steven Ntalibi (Police)

Mabeki:
Soter Kayumba (AS Kigali), Ismail Nshutiyamagara (APR), Emery Bayisenge (APR), Michel Rusheshangoga (APR), Fitina Ombelenga (SC Kiyovu), Janvier Mutijima (AS Kigali) and Eric Rutanga (APR).

Viungo:
Haruna Niyonzima (Yanga), Jean Baptiste Mugiraneza (APR), Rachid Kalisa (Police), Justin Mico (AS Kigali), Savio Nshuti Dominique (Isonga), Patrick Sibomana (APR), Jean Claude Zagabe (Mukura), Kevin Muhire (Isonga), Andrew Buteera (APR) and Emmanuel Sebanani (Police).

Washambuliaji:
Ernest Sugira (AS Kigali), Danny Usengimana (Isonga), Bertrand Iradukunda (APR), Innocent Ndizeye (Amagaju) and Issa Bigirimana (APR).

Wengine ni:
Ismail Nshutiyamagara (APR), Haruna Niyonzima (Young Africans/Tanzania), Jean Baptiste Mugiraneza (APR), Jean Claude Zagabe (Mukura), Ernest Sugira (AS Kigali).
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Niyonzima aitwa timu ya Taifa
Niyonzima aitwa timu ya Taifa
http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/niyonzima.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/niyonzima-aitwa-timu-ya-taifa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/niyonzima-aitwa-timu-ya-taifa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy