Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake
John Bocco
HomeMichezoKitaifa

Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake

John Bocco   Mshambuliaji wa Azam, John Bocco ‘Adebayor’ amekwenda Algeria kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza ...

Picha: Veterans wa Barcelona wainyuka Tanzania Uwanja wa Taifa
PICHA VURUGU KUBWA ZILIZOTOKEA JANA MJINI IRINGA ,POLISI WALAZIMIKA KUTUMIA MABOMU,NI KATIKA ENEO LA IPOGOLO
Wananchi walala nje na watoto baada ya nyumba na mashamba yao kufyekwa mkoani Arusha.

  Mshambuliaji wa Azam, John Bocco ‘Adebayor’ amekwenda Algeria kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa.

Bocco aliyerejea kwenye timu yake ya Azam hivi karibuni baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu alikuwa akisumbuliwa na majeraha ya goti na alifanya vizuri na timu hiyo kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi yaliyomalizika mwanzoni mwa wiki na Simba kutwaa ubingwa.

Mchezaji huyo yuko Algeria katika klabu ya Chabab Riadhi Baladiyat (CRB) akifanya majaribio huku klabu hiyo ikitaka kumnunua moja kwa moja kama itaridhika naye.
Mshambuliaji huyo alikwenda katika klabu hiyo ya Ligi Daraja la kwanza mwanzoni mwa wiki hii na inaelezwa kuwa timu hiyo inataka kumnunua moja kwa moja mchezaji huyo mwenye umbo kubwa na anayejua kufunga mabao ya vichwa.

Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba aliliambia gazeti hili kuwa wanasubiri majibu ya klabu hiyo kuhusu mchezaji huyo na waliwapa muda hadi leo jioni kabla ya kuamua vinginevyo.

“Ni kweli Bocco yuko Algeria, kuna timu imetaka kumnunua, lakini walisema wanataka kumwona kwanza na bado tunasubiri majibu yao na tunawapa hadi kesho(leo) jioni wawe wameshatuambia nini kinaendelea,” alisema Kawemba.
Bocco aliwahi kufanya majiribio kwenye klabu ya Supersport ya Afrika Kusini na kufuzu, lakini hata hivyo Azam iligoma kumuuza kutokana na madai kuwa walipewa fedha kidogo.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake
Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake
http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2591358/highRes/923025/-/maxw/600/-/v5nie0z/-/bocco_clip.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/bocco-aenda-algeria-kujaribu-bahati-yake.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/bocco-aenda-algeria-kujaribu-bahati-yake.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy