Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450
HomeHabariTop Stories

Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450

Serikali Mkoani Geita imeendelea kuwa kivutio kwa wakazi wa Mkoa humo hii ni Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Sulu...

Serikali Mkoani Geita imeendelea kuwa kivutio kwa wakazi wa Mkoa humo hii ni Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kuleta kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 4 kujenga shule ya wasichana ili kuondokana na changamoto mbalimbali za kielimu.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Geita , Hashim Komba wakati alipofanya ziara ya kuwatembeza waendesha Daladala (Baiskeli) katika Miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita ukiwemo mradi wa shule ya Sekondari ya wasichana Geita Girls pamoja na ukarabati wa Hospitali ya Halmashauri ya Manispaa ya Geita ambapo kiasi cha shilingi milioni 900 kimetumika kukarabati hospitali hiyo.

” Leo tuliona nyinyi kama vijana mate nafasi ya kuona kwenye sekta ya elimu jambo ambalo limefanyika hapa tumeambiwa na Afisa Elimu wetu wa sekondari ya kwamba ni Bilioni 4 na Milioni 100 zimeshawekwezwa kwenye eneo hili , ko nyie mkirudi huko kazi yenu kubwa ni kwenda kuwaambia wananchi wenzetu wa wilaya ya Geita , ” DC.Komba.

Kwa upande wake Rashid Mhaya ambaye ni Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Geita amesema shule hiyo itaghalimu jumla zaidi ya shilingi Bilioni 4 fedha ambazo zimeletwa katika awamu mbili ambapo awamu ya kwanza walipokea bilioni tatu ambazo zilijenga Madarasa 10 pamoja na Matundu 16 ya vyoo .

“Jumla ya shilingi Bilioni 4 milioni 400 na 50 fedha ambazo zimeletwa katika awamu ya Pili awamu ya kwanza tulipokea bilioni 3 ambazo tulijenga madarasa 10 tutayaona yako upande huo na chini yake kidogo kuna matundu 16 ya choo kwa ajili ya vijana wetu lakini katika awamu hiyo hiyo tulijenga Maabala nne kwa sababu shule yetu ni shule ya mchepuo wa sayansi , ” Afisa Elimu Sekondari Halmashauri Manispaa ya Geita, Mhaya.

Baadhi ya Viongozi wa Daladala (Baiskeli) wameipongeza serikali ya awamu ya Sita Chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa jitihada alizozieweka katika sekta mbalimbali ndani ya wilaya ya Geita ikiwemo sekta ya Elimu na Afya.

The post Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450 first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/ShGQ1ew
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450
Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2025/01/IMG-20250102-WA0016-1-950x633.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2025/01/waendesha-baiskeli-geita-watembezwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2025/01/waendesha-baiskeli-geita-watembezwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy