Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza
HomeHabariTop Stories

Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza

Ugonjwa wa kichaa Cha mbwa umetajwa kuwa ni moja Kati ya magonjwa hatarishi Kwa wanyama hao pamoja na wafugaji kwani huambukiza Kwa kung’atw...

Utengenezaji wa mabehewa 264 ya mizigo umekamilika nchini China -TRC
Habari kubwa Magazetini Kenya leo November 15, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 15, 2024

Ugonjwa wa kichaa Cha mbwa umetajwa kuwa ni moja Kati ya magonjwa hatarishi Kwa wanyama hao pamoja na wafugaji kwani huambukiza Kwa kung’atwa na mnyama aliyeathirika na ugonjwa huo

Akizungumzia katika zoezi la utoaji wa chanjo ya kichaa Cha mbwa Marko Mabula mwanafunzi wa masomo ya Tiba za wanyama Chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)kampasi kuu ya Morogoro amesema kuwa bila kutoa chanjo ya ugonjwa huu baadhi ya wanyama wamekuwa Wakiathirika Kwani ugonjwa huu huambukiza kutoka mnyama moja kwenda mnyama mwingine

Katika zoezi hilo zaidi ya mbwa 100 wamepatiwa chanjo hii kutoka katika hospital ya wanyama iliyopo Chuo kikuu Cha kilimo Cha Sokoine (SUA) ikiwa ni katika jitihada za Kupambana na ugonjwa huu pamoja na minyoo kwa wanyama

 

Pia Daktari wa magonjwa ya mifugo Mabula Mariko amewaomba wafugaji wote kuwapa chanjo wanyama hawa kwani zoezi hili ni endelevu

Akizungumzia faida za chanjo hiyo Daktari Philipo Otieno amesema kuwa Baada ya huduma hii kutolewa mfugaji anakuwa salama kwani ugonjwa huu huambukizwa maraa baada ya mbwa kumng’ata mnyama mwingine au mfugaji

Nao miongoni mwa wafugaji wa wanyama hawa ambao wamehudhuria katika zoezi hili wameridhishwa na huduma hii na wameiomba Taasisi kuhakikisha zoezi hili linakuwa endelevu mala kwa mala kwani mala baada ya chanjo hii mfugaji anakuwa huru na mnyama wake

The post Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/p7IyHio
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza
Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2024/07/IMG-20240701-WA0021-1-950x534.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2024/07/ugonjwa-wa-kichaa-cha-mbwa-unaweza.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2024/07/ugonjwa-wa-kichaa-cha-mbwa-unaweza.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy