Profesa Hosea aibuka kidedea urais TLS
HomeHabari

Profesa Hosea aibuka kidedea urais TLS

Rais wa Chama cha mawakili Tanzania (TLS) Profesa Edward Hosea ameendelea kukitetea kiti chake cha urais kwa kuibuka mshindi kwa kupata k...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo May 06
LIVE: Rais Samia na Kenyatta katika kongamano la wafanyabiashara Kenya
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Lasitisha safari za India


Rais wa Chama cha mawakili Tanzania (TLS) Profesa Edward Hosea ameendelea kukitetea kiti chake cha urais kwa kuibuka mshindi kwa kupata kura 621.

Akitangaza matokeo hayo jijini Arusha  Mei 27 katika ukumbi wa mikutano wa AICC, Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi, Charles Rwechungura amesema kuwa, kura zilizopigwa zilikuwa 1,150 ambapo Profesa Hosea ameibuka mshindi dhidi ya wagombea wenzake ambao ni Harod Sungusia (380) na Jeremia Mtobesya (145).

Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Profesa Hosea amemshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumtetea katika nafasi hiyo huku akiwashukuru wanachama hao kwa kumwamini na kumchagua tena kuwaongoza kwa mara ya pili.

"Mimi niseme tu Sasa kwa kuwa mmenichagua tuache kutegemea wanachama kutoa hela zao, na natanguliza kuwepo kwa uwazi kwenye swala la hesabu tutakuwa makini Sana katika maswala hayo na nawaahidi katika hilo," amesema.

Amesema kuwa, atahakikisha kila kamati inawajibika kwa wanachama wake, huku akiwataka kuwa kitu kimoja.

 



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Profesa Hosea aibuka kidedea urais TLS
Profesa Hosea aibuka kidedea urais TLS
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi0Akf4KXLoPXiCuYfs5Ah26AWEddOe2tuvMNDY3kY8kjVd_20osUE_BWdSSjDyai638MPljlJeOo9dx2gLpX5V2KPf3BzafJO9ALE-SI3pjiBHXvPs8OVehk5Bgspqc8ZG0L42sz_iV3UOYjS7xLSmVU7cHkyvMBcpy0dj6foGaUa-0mc_ugT7qy_u_Q/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi0Akf4KXLoPXiCuYfs5Ah26AWEddOe2tuvMNDY3kY8kjVd_20osUE_BWdSSjDyai638MPljlJeOo9dx2gLpX5V2KPf3BzafJO9ALE-SI3pjiBHXvPs8OVehk5Bgspqc8ZG0L42sz_iV3UOYjS7xLSmVU7cHkyvMBcpy0dj6foGaUa-0mc_ugT7qy_u_Q/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/profesa-hosea-aibuka-kidedea-urais-tls.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/profesa-hosea-aibuka-kidedea-urais-tls.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy