Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar
HomeHabari

Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar

 Sakata la usafiri wa bodaboda na bajaji kuingia Katikati ya Jiji la Dar es Salaam limetua bungeni baada ya Mbunge wa Ukonga (CCM), Jelly...

Waziri Ndalichako Aiagiza TaESA Kuwafuata Vijana Katika Taasisi Za Elimu Na Kuwaeleza Fursa Za Ajira
Tanzania Yashiriki Mkutano Wa Kamati Ya Mawaziri Wa Sheria Wa SADC
Airtel Tanzania Yatoa Gawio La Sh.bilioni 122 Kwa Miaka Miwili


 Sakata la usafiri wa bodaboda na bajaji kuingia Katikati ya Jiji la Dar es Salaam limetua bungeni baada ya Mbunge wa Ukonga (CCM), Jelly Silaa kulitaka Bunge kusimamisha shughuli zake na kujadili sakata hilo.

Hata hivyo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amesema hoja hiyo haiwezi kujadiliwa bungeni hapo na badala yake amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kushughulikia jambo hilo.

Baada ya kipindi cha maswali na majibu leo Alhamisi Aprili 21, 2022 mbunge huyo ameomba kutoa hoja ya kuahirisha shughuli za bunge ili jambo hilo lijadiliwe amesema; “Ni muhimu sana kwa sababu bodaboda wanabeba kundi kubwa la nguvu kazi ya vijana”

"Mheshimiwa Spika, hata wewe juzi ulipokwenda Mbeya ulipokelewa na kundi kubwa la vijana wa bodaboda na maeneo mengine tunawategemea, Jijini Dar es Salaam kumekuwa na sintofahamu kuhusu kundi hili, naomba wenzangu waniunge mkono tulijadili," amesema Silaa.

Akijibu hoja hiyo, Spika Dk Tulia amesema ili hoja ijadiliwe lazima kiti chake kijiridhishe kuwa inafaa kuingia kwenye mjadala lakini kwa jambo hilo Serikali ibebe dhamana ya kulishughulikia.

"Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni ambaye ni Mheshimiwa Waziri Mkuu yupo hapa tunaomba ulibebe jambo hili na kutoa mwongozo ikiwemo magari ya Kigoma, ili watu wajue," amesema Dk Tulia.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar
Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd6SNutExuhybMsFfnbFBghZiPF-CKL0diDsqt_LUU9nRzY-MpNA_Sja186UC0qtUczAK9NmIvkK6r3onFMWddPSmDOT_eoDnF20i5iliqQ7Xg8PUHSSNG4Ovwno-AI7OWBfjX2RA6Ej6mrIz_1Zc_WKbenCJCyRo1A0GYcOvn1fr4frfEfAligokT0g/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd6SNutExuhybMsFfnbFBghZiPF-CKL0diDsqt_LUU9nRzY-MpNA_Sja186UC0qtUczAK9NmIvkK6r3onFMWddPSmDOT_eoDnF20i5iliqQ7Xg8PUHSSNG4Ovwno-AI7OWBfjX2RA6Ej6mrIz_1Zc_WKbenCJCyRo1A0GYcOvn1fr4frfEfAligokT0g/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/spika-atoa-maagizo-zuio-la-bajaji.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/spika-atoa-maagizo-zuio-la-bajaji.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy