Njombe:Ukimuita mwenzio mchawi unakwenda jela miaka saba
HomeHabari

Njombe:Ukimuita mwenzio mchawi unakwenda jela miaka saba

Na Amiri Kilagalila,Njombe Polisi mkoani Njombe imeonya wananchi kujihusisha na vitendo vya ushirikina na kubainisha kuwa yeyote atakaye...

Serikali Yakaribisha Wadau Utekelezaji Mpango Wa Taifa Wa Maendeleo
Polisi Watakiwa Kuongeza Kasi Ya Ukusanyaji Mapato
Serikali Yazihakikishia Kampuni Za Uswisi Mazingira Salama Ya Biashara, Uwekezaji


Na Amiri Kilagalila,Njombe
Polisi mkoani Njombe imeonya wananchi kujihusisha na vitendo vya ushirikina na kubainisha kuwa yeyote atakayemuita jirani yake mchawi na kukamatwa kwa tuhuma hizo itapelekea kuhukumiwa kwenda jela miaka saba bila ya kuwa na dhamana.

Hayo yamebainishwa na Sajenti Thobias Nyagawa wakati Polisi na idara ya dawati la jinsia na watoto walipofika kijiji cha Itunduma kata ya Mtwango wilayani Njombe kutoa elimu juu ya unyanyasaji wa kijinsi,mauji pamoja na udumavu mambo amabyo yamekuwa yakiwatesa wananchi mkoani humo.

“Kama kuna mtu anatangaza uchawi iwe mwisho,ukimwita mtu mchawi tukagundua,unakwenda jela miaka saba yaani hiyo unakwenda moja kwa moja hakuna dhamana”alisema Sajenti Thobias Nyagawa

Kwa upande wake kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amewaonya vikali vijana wanao subiri kurithi mali za wazazi wao badala ya kufanya kazi ili waweze kujikwamua kiuchumi.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Njombe:Ukimuita mwenzio mchawi unakwenda jela miaka saba
Njombe:Ukimuita mwenzio mchawi unakwenda jela miaka saba
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjof6AfxaH95TIm7nlxXnWDywhvCbhJvUCun4xutAzl26NmCx0nh0ncuvV6JUWBd3Gniqq0Rqp1TInA_2Z1imP7_u8e_ZvOPvAqgfUda8iy9C5dnR0hTMEzn-FC3HsI7cgfUVEcFj5H4yLlLw70pwrDCJJbZq1FUh1ZLTFvSZYRS3Uc1zsVhfqQ7_p4yg/s16000/1.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjof6AfxaH95TIm7nlxXnWDywhvCbhJvUCun4xutAzl26NmCx0nh0ncuvV6JUWBd3Gniqq0Rqp1TInA_2Z1imP7_u8e_ZvOPvAqgfUda8iy9C5dnR0hTMEzn-FC3HsI7cgfUVEcFj5H4yLlLw70pwrDCJJbZq1FUh1ZLTFvSZYRS3Uc1zsVhfqQ7_p4yg/s72-c/1.png
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/njombeukimuita-mwenzio-mchawi-unakwenda.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/njombeukimuita-mwenzio-mchawi-unakwenda.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy