Waziri Mkuu Awataka Watendaji Kuwa Wawazi Katika Majukumu Yao Ili Kuendana Na Azma Ya Serikali
HomeHabari

Waziri Mkuu Awataka Watendaji Kuwa Wawazi Katika Majukumu Yao Ili Kuendana Na Azma Ya Serikali

Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Sensa ya watu ba Makazi Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka watendaji wanaosimamia kuwa wawazi kat...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo
Spika Ndugai awaomba radhi Wakristo na Watanzania waliokwazwa na kauli yake
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo September 1


Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Sensa ya watu ba Makazi Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka watendaji wanaosimamia kuwa wawazi katika majukumu yao ili kuendana na Azma ya Serikali zote mbili kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake.


Mhe. Majaliwa ambae ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa agizo hilo alipokuwa akiendesha Kikao cha Nne cha Kamati hiyo kilichofanyika Ukumbi wa Hotel Verde Mtoni Jijini Zanzibar.

Amesema Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Awamu ya Nane zimeweka utaratibu wa kuweka wazi matumizi kwa lengo la kudhibiti matumizi katika Serikali.

Aidha Mhe Majaaliwa amesema ni vyema kwa matumizi ya vifaa vitakavyotumika kwa ajili ya Zoezi la Sensa ya watu na Makazi yafanywe kwa kufata utaratibu ili kutumia fedha kwa mujibu wa sheria za manunuzi zilizopo nchini.

Nae Mwenyekiti Mwenza wa kamati ya kitaifa ya Sensa ya watu na makazi Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amezitaka Wizara husika kuacha Muhali katika kutoa nafasi za ajira na kueleza kuwa ni vyema kuzingatia vigezo vinavyohitajika katika kupatikana watumishi hao.

Amesema Serikali haitoridhia kuona baadhi ya watumishi wake kuvuruga zoezi hilo kwa Maslahi yao binafsi ambapo hatua za kisheria zitachukuliwa kwa yoyote atakaevuruga zoezi hilo.

Hata hivyo Mhe Hemed amesema Serikali ina matumaini Makubwa kwa zoezi hilo hivyo ni vyema kila mmoja kuhakikisha anawajibika ipasavyo ili liweze kukamilika kwa Maslahi ya Taifa.

Nao Makamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 wamesema Makarani watakaotumika kusimamia zoezi hilo watachukuliwa kwa mujibu wa maeneo yao ya makazi ili kuhakikisha zoezi hilo linakamilika kwa urahisi na kwa wakati uliopangwa.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Mkuu Awataka Watendaji Kuwa Wawazi Katika Majukumu Yao Ili Kuendana Na Azma Ya Serikali
Waziri Mkuu Awataka Watendaji Kuwa Wawazi Katika Majukumu Yao Ili Kuendana Na Azma Ya Serikali
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjYY38BNalcEfbr9L40dLo5goV8MmGzC59UhN0BPH7nd6l1kOn6vzdjiyJ2DBao65WXD6bsQPf1GZSGbD8gIBiWTSd4r2uuLuFDi0kZ4wSZVIi7NhY0eseHDEBC89BQmk689J1oMDtfVYfL850RWZmLRLbcJZePJ-L3EdAC5qZPFgsSfOpCO7C491yJtQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjYY38BNalcEfbr9L40dLo5goV8MmGzC59UhN0BPH7nd6l1kOn6vzdjiyJ2DBao65WXD6bsQPf1GZSGbD8gIBiWTSd4r2uuLuFDi0kZ4wSZVIi7NhY0eseHDEBC89BQmk689J1oMDtfVYfL850RWZmLRLbcJZePJ-L3EdAC5qZPFgsSfOpCO7C491yJtQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/waziri-mkuu-awataka-watendaji-kuwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/waziri-mkuu-awataka-watendaji-kuwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy