NECTA Yatangaza Matokeo....Yasema ufaulu kidato cha nne umeongezeka
HomeHabari

NECTA Yatangaza Matokeo....Yasema ufaulu kidato cha nne umeongezeka

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde amesema jumla ya watahiniwa 483,820 sawa na asilimia 87.30 wame...

Arafat ashinda Makamu wa Rais Yanga, hawa ndio wajumbe watano
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo July 10
Waziri Mulamula: Wafanyabiashara Changamkieni Fursa Za Masoko Katika Jumuiya Za Kikanda


Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde amesema jumla ya watahiniwa 483,820 sawa na asilimia 87.30 wamefaulu mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2021.

Dk Msonde ameibainisha hayo leo Jumamosi Januari 15, 2022 wakati akitangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na nne.

Amesema kati ya watahiniwa 483,820 wasichana waliofaulu 218,174 sawa na asilimia 85.77 huku wavulana wakiwa 204,214 sawa na asilimia 89.00 wamefaulu

Katika matokeo hayo, Dk Msonde amesema shule ya Kemebos ya Kagera imeshika nafasi ya kwanza katika 10 bora kitaifa 

Shule 10 bora matokeo ya form 4
1. Kemebos Kagera
2. St. Francis Mbeya

3. Waja Boys Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Girls Iringa
6. Maua Seminary KLM
7. Feza Boys DSM
8. Precious Blood Arusha
9. Feza Girls DSM
10. Mzumbe Morogoro.

Dk Msonde amesema Consolata Lubuva aliyekuwa akisoma St Francis ameibuka wa kwanza kitaifa katika orodha ya 10 bora ya watahiniwa waliofanya vizuri.

Watahiniwa 10 bora matokeo form 4

1. Consolata Luguva St.Francis
2. Butoi Kangaza -//-
3. Wllhemia Steven -//-
4. Cronel John -//-
5. Mary Ngoso -//-
6. Holly Lyimo - Bright Future
7. Brandina St.Francis
8. Imamu Feza Boys
9. Mfalme Madili Ilboru
10. Clara Straton St.Francis



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NECTA Yatangaza Matokeo....Yasema ufaulu kidato cha nne umeongezeka
NECTA Yatangaza Matokeo....Yasema ufaulu kidato cha nne umeongezeka
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj5x_Sw_0ieEg_yYVAFRiK8fdYNaXj27vRZBVq43drufT_Gl6xV9kfALWU_VbmecjKCI6tFfWTOoiqGWmLCEj9cCaifh8xNyyPIwECFBXQZvICl7u-N4c8UFdFhzfs3RWt1qPT5oPCtvKSuLh64XiN5O3XNNws5sSOjkGObQUtkupHbhBTWfygoagEMBA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj5x_Sw_0ieEg_yYVAFRiK8fdYNaXj27vRZBVq43drufT_Gl6xV9kfALWU_VbmecjKCI6tFfWTOoiqGWmLCEj9cCaifh8xNyyPIwECFBXQZvICl7u-N4c8UFdFhzfs3RWt1qPT5oPCtvKSuLh64XiN5O3XNNws5sSOjkGObQUtkupHbhBTWfygoagEMBA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/necta-yatangaza-matokeoyasema-ufaulu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/necta-yatangaza-matokeoyasema-ufaulu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy