Askofu wa Afrika Kusini na Mshindi wa tuzo ya Nobel Desmond Tutu Afariki Dunia
HomeHabari

Askofu wa Afrika Kusini na Mshindi wa tuzo ya Nobel Desmond Tutu Afariki Dunia

Ikulu ya Afrika Kusini imetangaza kuwa Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel na mpigania haki nchini Afrika Kusini, Askofu Desmond Tutu amefa...

Upatikana Wa Saruji Nchini Ni wa Kuridhisha: Prof. Mkumbo
Lengai Ole Sabay na Wenzake Watiwa Hatiani
Habari Zilizop Katika Magazeti ya Leo October 16


Ikulu ya Afrika Kusini imetangaza kuwa Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel na mpigania haki nchini Afrika Kusini, Askofu Desmond Tutu amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90.

Baada ya kifo cha Tutu, Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema Tutu alikuwa kiongozi mashuhuri wa kiroho, mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi na mwanaharakati wa kimataifa wa haki za binadamu.

Pia amemtaja kuwa mzalendo ambaye alitoa maana ya ufahamu wa Biblia kwamba imani bila matendo imekufa.

 "Mtu mwenye akili ya ajabu, mwadilifu na asiyeweza kushindwa dhidi ya nguvu za ubaguzi wa rangi, pia alikuwa mpole na mwenye huruma hasa kwa ambao walikuwa wamepitia  dhuluma na vurugu chini ya ubaguzi wa rangi na watu waliokandamizwa  kote ulimwenguni," amesema.

Tutu alikuwa  mmoja wa kati ya watu waliochochea  harakati za kukomesha sera ya ubaguzi wa rangi  iliyotekelezwa na Serikali ya wazungu wachache dhidi ya weusi walio wengi nchini Afrika Kusini kuanzia 1948 hadi 1991.

 Alitunukiwa tuzo ya Nobel mwaka 1984 kwa jukumu lake katika mapambano ya kukomesha mfumo wa ubaguzi wa rangi.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Askofu wa Afrika Kusini na Mshindi wa tuzo ya Nobel Desmond Tutu Afariki Dunia
Askofu wa Afrika Kusini na Mshindi wa tuzo ya Nobel Desmond Tutu Afariki Dunia
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj2QfPMrPJ6SFEGLczo9mNh9GIC_8S9TCmtwc8s64We7NgCRL5HvlR6wVNUXX_sSH9hgtEI202dIwx_HpOrzfD6ch_xqMQEM1-FvDMrxX18Vp6F70f5cVt9GuN6JHCLSLsqmaswnOmsa_xcUzUWlsVPkE55jhNVLqTgKfwvkHoNOKbV6jEG6iIh9J9q4Q=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj2QfPMrPJ6SFEGLczo9mNh9GIC_8S9TCmtwc8s64We7NgCRL5HvlR6wVNUXX_sSH9hgtEI202dIwx_HpOrzfD6ch_xqMQEM1-FvDMrxX18Vp6F70f5cVt9GuN6JHCLSLsqmaswnOmsa_xcUzUWlsVPkE55jhNVLqTgKfwvkHoNOKbV6jEG6iIh9J9q4Q=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/askofu-wa-afrika-kusini-na-mshindi-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/askofu-wa-afrika-kusini-na-mshindi-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy