Uingereza yaondoa zuio la wasafiri kutoka Tanzania
HomeHabari

Uingereza yaondoa zuio la wasafiri kutoka Tanzania

Serikali ya Uingereza imeondoa zuio la kusafiri kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine 46 zilizokuwa zimepigwa marufuku mapema mwaka ...

Serikali yapunguza gharama za kuvuka Daraja la Nyerere
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 23
Tudumishe Ushirikiano Katika Kutokomeza Uviko-19 : Mganga Mkuu Wa Serikali


Serikali ya Uingereza imeondoa zuio la kusafiri kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine 46 zilizokuwa zimepigwa marufuku mapema mwaka huu kama njia ya kupunguza maambukizi ya aina mpya ya virusi vya corona.

Taarifa iliyotolewa jana Oktoba 7 imedai Tanzania imeondolewa katika orodha nyekundu kuanzia Oktoba 11 saa 4 asubuhi. Serikali ya Tanzania haijatoa kauli yoyote hatahivyo Uingereza imesema mpango huo utarahisisha watu wengi kusafiri kwenda nchi za ulaya.

Utaratibu huo pia unatoa nafuu kwa wenyeji wanaorudi Uingereza kutoka nchi hizo kwa kuwa hawatahitajika kukaa karantini.

Nchi nyingine ni Uganda, Afrika ya Kusini, Sudan, Burundi, Zambia, Zimbabwe, Somalia, Seychelles, Rwanda, Namibia, Msumbiji, Malawi, Lesotho, Mexico, Ethiopia, Eritrea, Eswatini DR Congo, Angola, Brazil, Botswana na Argentina.

Sababu za uamuzi huo ni kutokana na maendeleo ya chanjo kote ulimwenguni ambapo umeiwezesha Uingereza kupunguza orodha hiyo na kubaki na mataifa 7 tu.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Uingereza yaondoa zuio la wasafiri kutoka Tanzania
Uingereza yaondoa zuio la wasafiri kutoka Tanzania
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgegEfTXkVM9LBlBdPkq3r5w_WTMiL-05UNXxvJTHoc4CoxghwNKSKoULjIWRqMnW3D9Q-U_3BdKLMItjNW3ubE_9xa48kIj3sM6hu9cMh4Jaf4zQidx5wcKzq-tMzquwy80rzhA9M8F9BuyebksneMQF9xWzOihlHdvUwam4BZ-Ii7ZXaFfCO6RIZPRg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgegEfTXkVM9LBlBdPkq3r5w_WTMiL-05UNXxvJTHoc4CoxghwNKSKoULjIWRqMnW3D9Q-U_3BdKLMItjNW3ubE_9xa48kIj3sM6hu9cMh4Jaf4zQidx5wcKzq-tMzquwy80rzhA9M8F9BuyebksneMQF9xWzOihlHdvUwam4BZ-Ii7ZXaFfCO6RIZPRg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/uingereza-yaondoa-zuio-la-wasafiri.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/uingereza-yaondoa-zuio-la-wasafiri.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy