SENZO:HII NDIYO YANGA AMBAYO TUNAITAKA
HomeMichezo

SENZO:HII NDIYO YANGA AMBAYO TUNAITAKA

 KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Yanga  SC, Senzo Mbatha Mazingisa, amesema kuwa  sasa wameanza kuiona Yanga ambayo  walikuwa wakitaman...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
SIMBA YARUDISHA SHUKRANI KWA MASHABIKI
SILVA ATAJWA KUIBUKIA ARSENAL

 KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Yanga 
SC, Senzo Mbatha Mazingisa, amesema kuwa sasa wameanza kuiona Yanga ambayo walikuwa wakitamani kuiona kwa muda mrefu huku akisisitiza kuwa Wanayanga watarajie mambo makubwa msimu huu.


Yanga imefanikiwa kushinda mechi mbili za kwenye ligi ambapo ilianza kushinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Kaitaba, Kagera kisha jana ilishinda bao 1-0 dhidi ya Geita Gold.


Akizungumza na Championi Ijumaa, kiongozi huyo alisema kuwa licha ya ushindi walioupata dhidi ya Simba kwenye Ngao ya Jamii na katika ligi, ameweza kuona mabadiliko makubwa kwa Yanga kama timu kwa sababu hata wachezaji wamekuwa wakionyesha kiwango kizuri cha uchezaji tofauti na huko nyuma ambapo Yanga ilikuwa inacheza bila mpangilio.


“Ukitazama jinsi Yanga inavyocheza sasa dhidi ya timu pinzani utaona kabisa timu hii imekuwa na mabadiliko sana tofauti kabisa na michezo ya hapo awali ambapo tulipoteza kimataifa lakini naweza kusema kuwa hii ya sasa ndio Yanga ambayo tulikuwa tukitamani kuiona kama ambavyo inacheza sasa, kuna pasi unaziona zinapigwa wachezaji waonyesha uwezo wao kitimu na uwezo binafsi, ni mabadiliko makubwa kwetu.


“Binafsi naona kabisa tumepiga hatua kubwa,kuanzia tulivyocheza na Rivers United halafu tukacheza na Simba, naona kuna vitu vinaanza kubadilika, hivyo tuna imani kuwa msimu huu kuna mambo mazuri yanakuja kutoka kwa Yanga.


“Tulihitaji muda ili kuwa bora, hivyo tunashukuru ubora tunaanza kuuona, pongezi kwa benchi la ufundi, naona tumeanza na mwanzo mzuri,” alisema Senzo.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SENZO:HII NDIYO YANGA AMBAYO TUNAITAKA
SENZO:HII NDIYO YANGA AMBAYO TUNAITAKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZwkp54afwK5rcpLj1-ygSO4CYqtqMKL0I0lTB2jaRuMSuvK0m24U5zRrVZWMTSu1hfqF1tScgYJaShk-GT-WlVRnQNye1shJ7QXeVNNFAYLX7Gtp3uwJumIzTLgYHZHaKkK3hed-DOh9h/w640-h512/yangasc-243695215_126942223013982_3271872209267299775_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZwkp54afwK5rcpLj1-ygSO4CYqtqMKL0I0lTB2jaRuMSuvK0m24U5zRrVZWMTSu1hfqF1tScgYJaShk-GT-WlVRnQNye1shJ7QXeVNNFAYLX7Gtp3uwJumIzTLgYHZHaKkK3hed-DOh9h/s72-w640-c-h512/yangasc-243695215_126942223013982_3271872209267299775_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/senzohii-ndiyo-yanga-ambayo-tunaitaka.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/senzohii-ndiyo-yanga-ambayo-tunaitaka.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy