NEYMAR JR AFIKIRIA KUSTAAFU
HomeMichezo

NEYMAR JR AFIKIRIA KUSTAAFU

 NYOTA wa timu ya taifa, Neymar Jr ameweka wazi kwamba baada ya kucheza Kombe la Dunia lijalo la mwaka 2022 hajui kama akili yake itakuwa ...

KOCHA YANGA AGOMEA SARE, ATAKA USHINDI MBELE YA NAMUNGO
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
NINJA NAYE YUPO KWENYE ORODHA YA WATAKAOIKOSA NAMUNGO KESHO

 NYOTA wa timu ya taifa, Neymar Jr ameweka wazi kwamba baada ya kucheza Kombe la Dunia lijalo la mwaka 2022 hajui kama akili yake itakuwa tayari kuendelea kupambana kwenye soka au laa.

Kauli hiyo inaamanisha kwamba huenda baada ya kukamilika kwa Kombe la Dunia linalotarajiwa kufanyika nchini Qatar staa huyo anaweza kustaafu masuala ya mpira.

Brazil kwa sasa inapambania tiketi ya kuweza kufuzu Kombe la Dunia na nyota huyo anayekipiga ndani ya Klabu ya PSG aliweza pia kuwa kwenye kikosi kilichonyooshwa mabao 7-0 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia.

Staa huyo amesema kuwa kombe la dunia la mwakani ndilo litakuwa la mwisho kwake kucheza kwa sababu hajui baada ya hapo atakuwa tayari kuendelea kucheza.

"Nafikiri Kombe la Dunia lijalo litakuwa la mwisho kwangu, nahisi itakuwa hivyo kwa sababu sijui kama nitakuwa tayari kuendelea kucheza na sijui akili yangu itakuwa tayari kuendelea kupambana ama laa," .





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NEYMAR JR AFIKIRIA KUSTAAFU
NEYMAR JR AFIKIRIA KUSTAAFU
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEirMBPmHTwa5FoOxvb2qcG1ZxI9aGu4QDM-kxodQr9XonGpSLe09c0xCohr-1HuiFBPmoNcRhT087fcSvVD2D7c0TAzXOIifstGTYz4iy-PSB4ON69s_FcDJuBMdsaK3oCmkuNMcuSy93srtF0li6sM5wEDQgDgcEQBAnbsKCWOO_QMKfeJaOIFQUPYCQ=w640-h360
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEirMBPmHTwa5FoOxvb2qcG1ZxI9aGu4QDM-kxodQr9XonGpSLe09c0xCohr-1HuiFBPmoNcRhT087fcSvVD2D7c0TAzXOIifstGTYz4iy-PSB4ON69s_FcDJuBMdsaK3oCmkuNMcuSy93srtF0li6sM5wEDQgDgcEQBAnbsKCWOO_QMKfeJaOIFQUPYCQ=s72-w640-c-h360
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/neymar-jr-afikiria-kustaafu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/neymar-jr-afikiria-kustaafu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy