Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anatangaza nafasiza ajira kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT...
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anatangaza nafasiza ajira kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na walioko kambini wenye sifa zifuatazo:-
1. Wenye elimu ya kidato cha Nne (Nafasi 180)
(i) Waliohitimu kidato cha nne kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.
(ii) Wenye astashahada, Trade-Test Grade I, FTC na ujuzi katika fani zifuatazo watapewa kipaumbele:-
a. Udereva Daraja E
b. Ufundi Magari
c. Ushonaji
d. Ufundi bomba
e. Ufundi ujenzi
f. Ufundi Umeme
g. Uogeleaji /Uzamiaji
h. Sayansi ya moto kutoka chuo cha Zimamoto na Uokoaji au chuo kingine kinachotambuliwa na serikali.
i. ClinicalAssistants
(iii) Umri kuanzia miaka 18 hadi 23
==>>Kujua Zaidi pamoja na Kutuma Maombi,BOFA HAPA
Mwisho wa Maombi: 13.10.2021
==>>Kujua Zaidi pamoja na Kutuma Maombi,BOFA HAPA Mwisho wa Maombi: 13.10.2021
Credit: MPEKUZI
Thanks for your time please share with your friends
COMMENTS