YANGA: MOLOKO NI ZAIDI YA TUISILA KISINDA
HomeMichezo

YANGA: MOLOKO NI ZAIDI YA TUISILA KISINDA

  MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, amemjaza upepo na kumpa sifa nyingi winga mpya wa timu hiyo, Mkongomani, Jesus Moloko ...

ISHU YA MOHAMED HUSSEIN KWENDA YANGA, SIMBA WAFUNGUKIA
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

 MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, amemjaza upepo na kumpa sifa nyingi winga mpya wa timu hiyo, Mkongomani, Jesus Moloko akisema anaamini ataliziba pengo la Tuisila Kisinda.

Yanga imemsajili Moloko akitokea AS Vita ya DR Congo kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kisinda aliyeuzwa hivi karibuni kwenda RS Berkane ya nchini Morocco.


Akizungumza na Spoti Xtra, Mwakalebela alisema kuwa kati ya mawinga bora Congo, basi Moloko yupo, hivyo hawana hofu katika msimu ujao.



Mwakalebela alisema kuwa hawajakosea kumsajili winga huyo huku akiamini atatimiza majukumu ndani ya timu hiyo katika msimu ujao ambao wamepanga kubeba makombe yote watakayoshiriki.


“Hatujakosea kumsajili Moloko, kwani tukiwa kambini Morocco nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu kwa ajili ya kujua uwezo wake.


“Kati ya usajili bora ambao tumeufanya katika msimu huu, basi huu wa Moloko ni mmoja wapo kutokana na kiwango kikubwa alichonacho.


“Kikubwa anachotakiwa ni kutimiza majukumu yake ya uwanjani kufunga na kutengeneza nafasi kwa wake ili timu ipate matokeo mazuri,” alisema Mwakalebela.


Kwa upande wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said ambaye alifanikisha usajili wa winga huyo, alisema:

 

“Kwa hakika Moloko ni mchezaji ‘potential’ ni mbadala sahihi wa Kisinda ambaye tumemuuza, kwangu namuona Moloko anakwenda kuwa mara tatu zaidi ya Kisinda kutokana na uwezo alionao.

 

“Jambo la kusubiri ni yeye afanye vizuri akiwa uwanjani, kwa sababu hilo ndiyo jambo la muhimu zaidi ambalo mashabiki wanatakiwa kumuombea," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA: MOLOKO NI ZAIDI YA TUISILA KISINDA
YANGA: MOLOKO NI ZAIDI YA TUISILA KISINDA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7vSOxxeXA3UQcBpoHsbhcdzog4ijyxHe70Yo1fdo3fFRfm2223KjePsYRk6K6TtHHYDh_izARhQ_joOlAGIHvkiBJfA3lq-L6flBMhtpyvAUxkUboH7-ovUXhx3Wj4jPKqclfzUjITSi2/w640-h622/Moloko.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7vSOxxeXA3UQcBpoHsbhcdzog4ijyxHe70Yo1fdo3fFRfm2223KjePsYRk6K6TtHHYDh_izARhQ_joOlAGIHvkiBJfA3lq-L6flBMhtpyvAUxkUboH7-ovUXhx3Wj4jPKqclfzUjITSi2/s72-w640-c-h622/Moloko.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-moloko-ni-zaidi-ya-tuisila-kisinda.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-moloko-ni-zaidi-ya-tuisila-kisinda.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy