SIMULIZI ya mtoto aliyefukuzwa kazi kisa ulevi na madawa ya kulevya Mwaka 2000 kaka yangu kipenzi alitoweka duniani na kuacha watoto wata...
SIMULIZI ya mtoto aliyefukuzwa kazi kisa ulevi na madawa ya kulevya
Mwaka 2000 kaka yangu kipenzi alitoweka duniani na kuacha watoto watatu. Watoto wawili wa kike na mmoja wa kiume. Kitendo cha kaka yangu kutoka duniani kilihuzunisha familiya yetu kwa ujumla hadi sasa hivi kwa sababu yeye alikuwa kiongozi wa familia yetu pia alikuwa amebeba majukumu makubwa sana tangu Baba yetu na mama watoke duniani.
Baada ya yeye kutoka majukumu yote yalihamia kwangu. Majukumu ambayo ni kuhakikisha wadogo zetu wanasoma pia kuhakikisha watoto wake watatu wanapata elimu bora ili badaye waweze kuwa na familia bora na kujitegemea.
Baada ya miezi sita tangu kaka yangu tumpumzishe kwa nyumba yake ya milele, mke wake Janeth ambaye ni shemeji yangu mimi aliolewa na mwanaume mwingine hivyo watoto wa kaka yangu niliwahamisha kutoka alipokuwa wanaishi na mama yao kisha nikawaleta kwa familiya yangu na kuanza maisha mapya.
Kitendo cha shemeji yangu kuolewa mimi sikuwa na pingamizi yoyote maana alikuwa bado mdogo hivyo damu ilikuwa inachemka bado na kingine alikuwa anahitaji mwanamke wa kuwa nae kwa ajili ya kupata raha ya duniani kama wanawake wengine.
Watoto wa kaka yangu niliwatafutia shule kisha wakaanza masomo. Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha wanapata kila kitu walichokihitaji katika masomo yao.
Hata hivyo kwa upande wao hawakuniangusha hata kidogo katika masomo yao maana kila mmoja alikuwa anapata alama zinazomruhusu kwenda hatua nyingine hata darasani walikuwa wanapata nafasi nzuri kabisa.
Mwaka 2016 mtoto wa kwanza wa kaka yangu ambaye ni Zabroni alijiunga na masomo ya elimu ya juu hivyo kwangu nilifurahi sana kuona anafikia hatua ile nilitamani kaka yangu angekuwepo duniani ili afaidi matunda ya mtoto wake pia nilijua akimaliza masomo yake na kupata kazi ntasaidiana nae kuhakikisha wadogo zake pia wanafika alipofika yeye.
Kipindi cha likizo nilijitahidi kumtafutia ofisi mbalimbali kwa ajili ya kumuandalia mazingira ya kazi akishamaliza masomo yake.
Mwaka 2019 Zabroni alihitimu masomo yake ya chuo kikuu. Kutokana na mazingira niliyomuandalia akiwa bado anasoma hakuweza kukaa mtaani zaidi ya miezi mitatu alikuwa tayari amepata kazi. Alipata kazi kwa haraka kwa sababu nilivyokuwa natembea nae katika ofisi mbalimbali wengi walikuwa wanamfahamu hata ofisini kwangu wengi walijua ndo kijana wangu wa kwanza kutokana na jinsi alivyonipenda na kuniheshimu katika sehemu.
Zabroni arivyopata kazi nilifurahi sana nakumbuka siku hiyo nilinunua nilijipongeza mwenyewe na kujiwekea ahadi kuwa na wadogo zake wawili wasichana nitahakikisha wanasoma na kupata kazi. Ila Zabroni alivyopata kazi alianza kubadirika sana kiasi ambacho mzazi kama mzazi ukimuona mtoto wako anafanya vile utatokwa chozi la maumivu na machungu sana.
Alianza kutumia Pombe, Sigara, Madawa ya kulevya na Bangi hivyo maisha niliyomuandalia yakawa tofauti na maisha yaliyomo. Marafiki wa marehemu kaka yangu walianza kunifata mara kwa mara kuniuliza kipi kimemkuta Zabroni,hata mimi mwenyewe sikujua kipi kimemkuta muda huo ushirikiano ambo nilihisi atatoa kwa wadogo zake hakuwepo hata daftari alikuwa hawezi kuwapa zaidi pesa yake yote ilikuwa inaishia kwenye kulewa kila wakati.
Hazikupita siku nyingi hata kazini alifukuzwa na kurudi nyumbani tena akawa mzigo tena kwangu. Kila mara nilikuwa natembelea kaburi ya kaka yangu na kumuomba anisamehe kwa sababu maisha ambayo Zabroni anaishi siyo maisha mimi nilitaka aishi hata mimi sijui kipi cha kumfanyia Zabroni. Jamii yote imenitazama mimi hali ya kuwa sina hatia
Siku moja nipo nyumbani rafiki wa marehemu kaka yangu alikuja nyumbani na kuniambia kuna mtu anaweza tusaidia Zabroni kuacha kutumia Pombe, Bangi na Madawa ya Kulevya kwa mda mchache sana. Bila kusita alichukua simu yake na kunionesha website ya kiwangadoctors ambayo ni www.kiwangadoctors.com.kwa website ya kiwangadoctors tulipata namba ya simu ambayo ni +254 769404965 kisha tutawasiliana na Dr.kiwanga.
Dr.kiwanga alitueleza kitu kilichomkuta Zabroni na kisha kutupatia jinsi ambayo Zabroni atasaidiwa.Na baada ya siku kadhaa tumewesiliana na Dr.kiwanga Zabroni alianza kubadilika taratibu na kwa sasa hatumii kitu chochote kinacholewesha na kazini amerudishwa.
Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali kama kupandishwa cheo kazini,Kusafisha nyota yako, kurudisha mpenzi wako ariyekuacha na mengine mengi.
Wasiliana na kiwangadoctors kwa namba +254 769404965,Barua pepe kiwangadoctors@gmail.com na kujua mengine kuwahusu tembelea website www.kiwangadoctors.com
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
COMMENTS